Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete

Wadau nipeni uzoefu na ujanja wa kukwepa chuma ulete

kama kuna chuma ulete si aende kwa bank tellers akajichotee mamilioni ya pesa.

Mkuu bank sio eneo la kitoto pale kuna ulinzi wa kimwili na kiroho pia, waulize Bank managers wanaofungua matawi watakuambia..

So hapo kuna either anapigwa kishetani AU hesabu zake hazipandi sawasawa
 
hakuna uchawi wala nini, hapo kuna mtu wako tu wa karibu huwa anaiba
 
Chuma ulete na uchawi in general is a myth
.. kama kuna chuma ulete si aende kwa bank tellers akajichotee mamilioni ya pesa. Aje kwa watu wenye vimitaji vidogo ili iweje??? Narudia tena watanzania acheni kudanganyana. Chuma Ulete haiexist... mleta mada tazama vizuri biashara yako ujue tundu linalotorosha hela liko wapi ila kuhusu chuma ulete sahau. Ni uwongo na ujinga kuamini kuwa kuna chuma ulete
Bank na Ikulu sio mahali kwa kutania mzee...!! Kule kwa motoo Sana unadhani kuchota pesa bank in rahisi oohoo...Uchawi unadundaa pale... Sawa na MTU utake kumloga Jiwee...haa ha ha
 
Sigara kali !! Mwenzako kaumizwa na chuma ulete . Wewe huamini ila ikikupata utaamini . Siku moja utasonga ugali wa kutosha familia yako ila ukinyanyua tu tonge moja ugali umeshaisha . Utashangaa ila ni mambo ya ulimwengu wa roho .
😀😀😀😀😀😀
 
Bank na Ikulu sio mahali kwa kutania mzee...!! Kule kwa motoo Sana unadhani kuchota pesa bank in rahisi oohoo...Uchawi unadundaa pale... Sawa na MTU utake kumloga Jiwee...haa ha ha
teh teh teh teh......
 
kama kuna mtu umemuajiri au mnasaidia kufanya hiyo kazi kuwa naye makini inawezekana kabisa yeye ndo akawa anakupiga hizo hela ila kuna uwezekano wa chuma ulete kuwepo mi nimeishi na wakinga wanafanya sana hiyo michezo
 
Niliwahi kufanya biashara maeneo ya tiptop ya duka la jumla nikawa napata faida nzuri tu, ila baadae yaanza mauza uza ya pesa kupotea bila kuonekana... Nikaanza kuamini kuna chuma ulete, mzee mmoja akaniambia niwe naweka mkaa kwenye droo ya hela ila holaaa, nikaanza kuaminishwa nalogwa ila baada ya kautafiti kangu nikabaini mdogo wangu mtoto wa mama mdogo ndio alikua ananiibia maana dogo alianza kua mcharo anatoa miofa kama hana akili nzuri
Nikafumba macho nikamlaza kituo cha police kama siku mbili akaongea kila kitu, ashukuru Mungu mama yangu ni mama yake mkubwa ndio alimuombea msamaha la sivyo dogo ningemtia adabu police
Sometimes hakuna cha chuma ulete wala nini, uchawi ni wewe mwenyewe kutokua makini na biashara yako though sometimes uchawi upo
Hii ndio wahenga wanasema "KIKULACHO KI NGUONI MWAKO"
 
Hakuna cha chuma ulete wala nini.
Ni matumizi na matanuzi yako yasiyo na mpango.
Hizo fedha hebu ziingize benki au mpesa halafu tuambie kama wamezifuata huko huko.
Jua kuwa mimi ndio mwenye hii biashara so najua niachotumia na upotevu wa ela , siwez kufanya ujing kabiashara wakat nko kikaz brow
 
Pole ndugu ,uli sovu vp tatzo lako
mkuu kama hayajakukuta haya mambo huwezi elewa!!tuachie sisi wahanga wa haya mambo tupeane ushauri!!daaaa hakuna mtu aliyekuwa mbishi kama mimi ila yaliyonikuta sitasahau maishani!ili bidi nimtoe mfanyakazi ili niuze mimi nione na kila pesa niliyokuwa naipokea nilikuwa naitandaza sakafuni na kuifunika na kokoto ili isipeperuke nione zinapoteaje,baada ya kufunga biashara nikaanza kuzikusanya karibu chumba kizima nilikuwa nimezitaawanya!!my God nakuta 90,000!!hakuna
 
Asnt huyo dogo ajawah mkuta kwakuw hakun anae amin bla yakukumta sometimes
mkuu nenda tandika kawaulizie watu wa mpesa/airtel money wanavyolia hadi wanafunga biashara!!!haya mambo huwezi kuyajua kama haya jakukuta
 
Nafanyia kazi
Chuma ulete na uchawi in general is a myth
.. kama kuna chuma ulete si aende kwa bank tellers akajichotee mamilioni ya pesa. Aje kwa watu wenye vimitaji vidogo ili iweje??? Narudia tena watanzania acheni kudanganyana. Chuma Ulete haiexist... mleta mada tazama vizuri biashara yako ujue tundu linalotorosha hela liko wapi ila kuhusu chuma ulete sahau. Ni uwongo na ujinga kuamini kuwa kuna chuma ulete
 
Naandika haya kutokana na yanayojiri katika biashara zangu
Niliwah fanya biashara kimara na nilipata maendeleo mazur kabiashara ila nilihama kwakuw ndio home boi
Sasa baada ya kuhama nmekuja huku kucn mwa Tz (Mtwara)
Kwa sasa nko na miezi na 8 katika biashara yangu (mobile money) ila ckuw naamin kuhusu chuma ulete ila kwa sasa huku kunifanya niamin kwakuw kila baada ya 1 au wiki nakutana na upotevu wa ela nyingi hadi biashara inashuka kbsa

Wadau nipen uzoez na ujanja wakukwepa chuma ulete kamishen nzuri ila mtaji unakufa kwahyo ni kaz bure ....
Acha juamini ushirikina kihinga.

Jipime wewe mwenyewe kuna sehemu unakosea.

Naweza kusema kwamba kama una akili ndogo ya kuamini chuma ulete huna akili kubwa ya ku control hela yako.

Unaweza kuambiwa kuna mganga wa kienyeji anayezuia chuma ulete, mlioe hela akuindikee chuma ulete.

Ukampa hela.

Na hata hiyi habari ya kwenda kwa mganga ikawa chuma ulete.
 
Kuna kipnd huwa nafanya mwenyewe kazi na yananikuta ndugu
kama kuna mtu umemuajiri au mnasaidia kufanya hiyo kazi kuwa naye makini inawezekana kabisa yeye ndo akawa anakupiga hizo hela ila kuna uwezekano wa chuma ulete kuwepo mi nimeishi na wakinga wanafanya sana hiyo michezo
 
Acha juamini ushirikina kihinga.

Jipime wewe mwenyewe kuna sehemu unakosea.

Naweza kusema kwamba kama una akili ndogo ya kuamini chuma ulete huna akili kubwa ya ku control hela yako.

Unaweza kuambiwa kuna mganga wa kienyeji anayezuia chuma ulete, mlioe hela akuindikee chuma ulete.

Ukampa hela.

Na hata hiyi habari ya kwenda kwa mganga ikawa chuma ulete.
Wew unamin kuwa mambo ya kiswahili hayapo (uchawi)
Nafanya mimi na nimeyaona siku moja nawe iman yako itajifunza
 
Uwe makini na mahesabu yako ya biashara,hakikisha unajua umeingiza kiasi gani kimetumika kiasi gani utagundua wapi unakosea,kuwaza moja kwa moja chuma ulete ni udhaifu wa akili kufikiri
 
Uwe makini na mahesabu yako ya biashara,hakikisha unajua umeingiza kiasi gani kimetumika kiasi gani utagundua wapi unakosea,kuwaza moja kwa moja chuma ulete ni udhaifu wa akili kufikiri
Brow cjawaz moja kwa moja jua kuw hadi na post hii post nimejichunguza pia
 
Back
Top Bottom