felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Hamjambo wana JamiiForums
Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono hewani, nilikua najiuliza sana, ila badae sana nikapata majibu.
Wadau nina nyumba mbili katika kupiga kazi za hapa na pale nilizijenga, ila kwa sasa mambo yamekua magumu wakuu, niko benchi, mpaka najiuliza ni mimi tu au kila mahali, nyumba moja ndio naishi na familia, nyingine nilisema nipangishe, yapata miaka 5 sasa, ila wakuu embu niambieni sio biashara kichaa hii kweli, kodi 140,000/- mtu analipa miezi mitatu, hela yenyewe anatoa kwa mafungu, hivi wakuu kuna ku survive hapa kweli? Naona kama namfaidisha tu mpangaji na hainilipi kabisa bora hata labda angekua anatoa kodi ya mwaka mzima, kodi za mafungu, ila sio kwamba ana shida
Je wadau mnanishaurije, niuze nyumba hela nusu ya nitakayopata nianzishe biashara niendeleze gurudumu la maisha au mnasemaje wadau? Kichwa kinapata moto wakuu, muda unaenda, sioni nikisogea, au nichukue maamuzi haya kwenye thread inayofata
Nishaurini.
Wakati mwingine unaweza kuwaza sana hadi kichwa kinataka kubasti, kuna kipindi kabla sijawa mtu mzima nilikua napishana na mtu anaongea mwenyewe na kurusha mikono hewani, nilikua najiuliza sana, ila badae sana nikapata majibu.
Wadau nina nyumba mbili katika kupiga kazi za hapa na pale nilizijenga, ila kwa sasa mambo yamekua magumu wakuu, niko benchi, mpaka najiuliza ni mimi tu au kila mahali, nyumba moja ndio naishi na familia, nyingine nilisema nipangishe, yapata miaka 5 sasa, ila wakuu embu niambieni sio biashara kichaa hii kweli, kodi 140,000/- mtu analipa miezi mitatu, hela yenyewe anatoa kwa mafungu, hivi wakuu kuna ku survive hapa kweli? Naona kama namfaidisha tu mpangaji na hainilipi kabisa bora hata labda angekua anatoa kodi ya mwaka mzima, kodi za mafungu, ila sio kwamba ana shida
Je wadau mnanishaurije, niuze nyumba hela nusu ya nitakayopata nianzishe biashara niendeleze gurudumu la maisha au mnasemaje wadau? Kichwa kinapata moto wakuu, muda unaenda, sioni nikisogea, au nichukue maamuzi haya kwenye thread inayofata
Nishaurini.