Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Kwani nyumba siyo Asset, mbona Benki nyingi tu zinatoa mikopo kwa dhamana ya mali isiyohamishika kama vile nyumba!Amesema yupo bench mkuu ,kumanishaa Hana kazi ss atachukuwa wap mkopoo afanye hyo biashara..
Mtu chake mkuu km anaonaa akiuza akiwekeza Kwenye biashara itakayomlipa mbona fresh tu mkuu...