Wadau njooni tuziondoe hizi App za mikopo

Wadau njooni tuziondoe hizi App za mikopo

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Kwakuwa mamlaka husika zimeshindwa, basi nataka vijana wapigania maendeleo tuziondoe hizi app za kitapeli.

Niliwapigia Simu TCRA wakasema hawahusiki niende polisi.

Njia za kuziondoa hizi app ni simple tu, kama una nyumba hujamalizia basi watahusika kumalizia, kama huna boda boda basi watahusika kununua

Cha kwanza uwe na simu janja, cha pili uwe na laini ya muda mrefu usiyoitumia mara kwa mara au kwa shughuli za kiofisi

Iondoe majina Yale muhimu, weka majina ya watu wasiopatikana, wasevu majina kama baba, mama, dada, shangazi, mjomba n.k

Kuwa na vitambulisho kama NIDA,VOTER ID, LICENSE.

Ingia mzigoni ,zipo kama App 50,Wana riba kubwa na ndani ya siku 7 wanataka ulipe huu ni utapeli na unyonyaji kampuni hizi hazijasajiliwa na hazijulikani ofisi zao zipo wapi

Sasa cha kufanya kopa na ulipe ,kiwango kikifika juu ,beba tembea

Kanunue Pikipiki, au kamalizie nyumba yako, au fanyia kitu cha maana

Hizi pesa ni za unyonyaji, na utakatishaji fedha

Serikali ipo bize na CHADEMA na kuharibu chaguzi,matapeli wanaumiza wananchi

Hadi sasa nishawalamba laki 5, naendelea kuwapuna maana nimejaribu kuwasiliana na mamlaka wanasema hawahusiki
 
Hadi ufike kiwango cha juu riba itakuwa ishafidia hata ukiwatapeli.

Mfano..kiwango cha million Moja unarudisha 1.45m..

Ukikopa mara tatu..itakuwa umeshalipa juma la million 1.35m kama riba. Tapeli hiyo 1 itakuwa umewapa faida ya laki 3.5

Anyways.. nimetembea nchi zote za Africa Masahariki ( Rwanda, Uganda Kenya ) kote Kuna hii mikopo.
 
Hadi ufike kiwango cha juu riba itakuwa ishafidia hata ukiwatapeli.

Mfano..kiwango cha million Moja unarudisha 1.45m..

Ukikopa mara tatu..itakuwa umeshalipa juma la million 1.35m kama riba. Tapeli hiyo 1 itakuwa umewapa faida ya laki 3.5

Anyways.. nimetembea nchi zote za Africa Masahariki ( Rwanda, Uganda Kenya ) kote Kuna hii mikopo.
Ile sio mikopo mkuu, ule ni ubazazi.. customer care ina vitisho wafanyakazi wote wamekula kimba. Nani kawarudisha kima hawa?
 
Unakopa elfu 35 unalipa elfu 50 siku sita? Ikiongezeka siku moja unalipa 55, siku mbili unalipa 60. Huu mkopo au matatizo?
 
Shida zote zimeletwa na umaskini na Kila kwenye umaskini Kuna fursa hii haiitaji D3 inataka walio na akili tu sio ELIMU
 
Kwakuwa mamlaka husika zimeshindwa, basi nataka vijana wapigania maendeleo tuziondoe hizi app za kitapeli.

Niliwapigia Simu TCRA wakasema hawahusiki niende polisi.

Njia za kuziondoa hizi app ni simple tu, kama una nyumba hujamalizia basi watahusika kumalizia, kama huna boda boda basi watahusika kununua

Cha kwanza uwe na simu janja, cha pili uwe na laini ya muda mrefu usiyoitumia mara kwa mara au kwa shughuli za kiofisi

Iondoe majina Yale muhimu, weka majina ya watu wasiopatikana, wasevu majina kama baba, mama, dada, shangazi, mjomba n.k

Kuwa na vitambulisho kama NIDA,VOTER ID, LICENSE.

Ingia mzigoni ,zipo kama App 50,Wana riba kubwa na ndani ya siku 7 wanataka ulipe huu ni utapeli na unyonyaji kampuni hizi hazijasajiliwa na hazijulikani ofisi zao zipo wapi

Sasa cha kufanya kopa na ulipe ,kiwango kikifika juu ,beba tembea

Kanunue Pikipiki, au kamalizie nyumba yako, au fanyia kitu cha maana

Hizi pesa ni za unyonyaji, na utakatishaji fedha

Serikali ipo bize na chadema na kuharibu chaguzi,matapeli wanaumiza wananchi


Hadi sasa nishawalamba laki 5, naendelea kuwapuna maana nimejaribu kuwasiliana na mamlaka wanasema hawahusiki
Vp ww umeshafanya ilo jambo
 
Ni ujambazi na serikali ipo
Tanzania tuna serikali au kikundi cha wap8gaji wa nchi? Tungekuwa na serikali mtu anatekwa mchana na hafichi sura halafu hatafutwi.

Hao polisi kazi yao ni kulinda wahalifu na uhalifu. Visasi kwa raia na kuwabambikizia kesi ili wapate sababu ya kuwapiga pesa na sometimes kutwaua.
 
Back
Top Bottom