Wadau njooni tuziondoe hizi App za mikopo

Wadau njooni tuziondoe hizi App za mikopo

Soko ni huria; nendeni mkakope penye riba nafuu. Ni rahisi tu!
Msipokwenda kukopa kwao watafunga app zao na hamtawaona tena.
Tatizo lenu mnataka pesa zao kwa utaratibu wenu. Wahenga wakasema, kisebusebu na kiroho papo!
 
Soko ni huria; nendeni mkakope penye riba nafuu. Ni rahisi tu!
Msipokwenda kukopa kwao watafunga app zao na hamtawaona tena.
Tatizo lenu mnataka pesa zao kwa utaratibu wenu. Wahenga wakasema, kisebusebu na kiroho papo!
Serikali ishaanza kazi wataelewa tu
 
Back
Top Bottom