Wadau Sicle Cell inaniangamizia mtoto wangu msaada wa haraka jaman

Wadau Sicle Cell inaniangamizia mtoto wangu msaada wa haraka jaman

Kama unahisi kuwa ni sickle cell, basi mpeleke mtoto kwenye Clinic ya Dr Julie Makani pale Muhimbili.

Website yao ni hii hapa,

Namba zao pia ziko hapa chini..

+255-768-680-688
+255-769-680-688
 
Kama unahisi kuwa ni sickle cell, basi mpeleke mtoto kwenye Clinic ya Dr Julie Makani pale Muhimbili.

Website yao ni hii hapa,

Namba zao pia ziko hapa chini..

+255-768-680-688
+255-769-680-688

Ahsante nakushukuru Mkuu ntawafuatilia.
 
Matola kama unajua tiba au nini afanye, msaidie plz! muone huruma huyo mtoto anaeteseka
Hata mimi muda huu natumia
simu, ila angalia kwa makini AshaDii kuna link
zote usefull ameziweka pamoja, tatizo linabaki palepale ni pupa zetu za
kujump to start new thread kabla ya upembuzi yakinifu.

Tena ni bora upate thread za zamani walikuwa wanashusha material ya
ukweli kuliko ilivyo sasa kuna virus vimeingia kuihujumu JF.
 
Last edited by a moderator:
Matola kama unajua tiba au nini afanye, msaidie plz! muone huruma huyo mtoto anaeteseka

Mbona nimeshaeleza vizuri tu, thread hii ipo kwa zaidi ya miaka mitatu AshaDii alijitolea thread zote useful kazifungulia thread moja na kuweka link zote.

Jukwaa la JF doctor juu ukiangalia kwa makini utaiona sticky thread ya AshaDii, au nimsaidie vipi zaidi?
 
Wadau,

Nina mtoto mwenye miaka 3 anasumbuliwa sana na maradhi ya mifupa kiasi ambacho miguu yake imeanza kukukosa nguvu na mara kwa mara anekua akîlazwa.

Naomba msaada kama kuna ushauri wa kuyapunguza kasi au kama kuna Hospital yoyote ambayo naweza pata tiba ya uhakika wa maradh haya.

mkuu pole sana ase.....kwanza nina mpwa wangu mtoto wa dada yangu..ase alizaliwa na huu ugonjwa
ila kama mfuko haupo vizuri,dah utapata sana misuko suko...maana dawa za matibabu ni very expensive kwa watoto
na tiba nzuri ni agha khan mkuu,ubaya wa huu ugonjwa kwa watoto ni ukosefu wa appetite ya kula...mtoto anadhohofika,kutwa maradhi nyemelezi kumtawala
pole sana mkuu
 
mkuu pole sana ase.....kwanza nina mpwa wangu mtoto wa dada yangu..ase alizaliwa na huu ugonjwa
ila kama mfuko haupo vizuri,dah utapata sana misuko suko...maana dawa za matibabu ni very expensive kwa watoto
na tiba nzuri ni agha khan mkuu,ubaya wa huu ugonjwa kwa watoto ni ukosefu wa appetite ya kula...mtoto anadhohofika,kutwa maradhi nyemelezi kumtawala
pole sana mkuu

Asante Mkuu nikusema apo agha khan wanatibu kabisa hili tatizo?
 
Back
Top Bottom