Wadau tuliangalie hili la Israel na vita vyao

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Kuna mambo yanashangaza na kustajabisha, Israel inapopigana vita na upande mwingine sikumbuki ni lini aliomba mazungumzo ya kusitisha vita.

Ila ikitokea mapambano yanahamia upande wao ni wepesi sana kuomba kusitisha vita, sijaelewa kwanini wanakuwa wepesi kuomba mazungumzo??

Mfano turudi majuzi tu hapa, Wanashambulia Lebanon hatukusikia kutaka mazungumzo, ila wajomba walipokuja kujibu tu wao wakawa wakwanza kuomba mazungumzo.

Wajuzi watuambie, nini wanachopenda kukimbilia kwenye meza ya mazungumzo pindi moto unaporudi upande wao??

Hebu tutoane tongotongo hapa
 

Attachments

  • downloadfile-3.jpg
    177.8 KB · Views: 4
Hizi stories mnapeana wapi?
Maana nimecheka kweli. You are so naive.
 
Nini sababu ya vita anayopigana Hezbollah? ukipata jibu ndio utajua alieshindwa vita ninani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…