blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Taji la u-legendary, 'Hall of Fame' wa Bongo Flavour.
Kwanini?
1. Tumekua nae katika tasnia hii.
2. Hajawahi kukata tamaa kupigania tasnia ya Bongo Flavor.
3. Ameyahimili mabadiliko ya kisayansi na ki teknolojia bila kutetereka.
4. Anawaimbia wote, watoto, vijana, wazee.
5. Nyimbo zake ni za kudumu, kama mwazikuambuka, Nyambizi, Leah umekwenda, Skufahamu, Hi!, etc.
6. Hana kashfa wala skendo chafu mtaani.
7. Anawasaidia wasanii chipukizi bila kujali uwezo wao kifedha.
8. Ni Mwanajamii (Socially interactive). Hana majivuno na habagui watu. Focus yake ni Music.
9. Tumekuwa nae tangu mwaka 96, 97, 98 na bado anawakilisha To-date. Nakumbuka Nyambizi nilikuwa naimba nikiwa form two, sasa mtoto wangu anaimba 'Ntizame', Togola togola.
9. Hana tuzo nyingi, sijui kwanini lakini hilo pia halimkatishi tamaa.
10. Ni baba wa wake watatu na analea family zote kupitia Bongo Flavor.
Hitimisho:
Kwanini tusimvike taji hili la 'Hall of Fame', 'Bongo Flavor Legendary'?
Ujumbe huu uwafikie Kili Awards na All Media.
Nawasilisha.
Kwanini?
1. Tumekua nae katika tasnia hii.
2. Hajawahi kukata tamaa kupigania tasnia ya Bongo Flavor.
3. Ameyahimili mabadiliko ya kisayansi na ki teknolojia bila kutetereka.
4. Anawaimbia wote, watoto, vijana, wazee.
5. Nyimbo zake ni za kudumu, kama mwazikuambuka, Nyambizi, Leah umekwenda, Skufahamu, Hi!, etc.
6. Hana kashfa wala skendo chafu mtaani.
7. Anawasaidia wasanii chipukizi bila kujali uwezo wao kifedha.
8. Ni Mwanajamii (Socially interactive). Hana majivuno na habagui watu. Focus yake ni Music.
9. Tumekuwa nae tangu mwaka 96, 97, 98 na bado anawakilisha To-date. Nakumbuka Nyambizi nilikuwa naimba nikiwa form two, sasa mtoto wangu anaimba 'Ntizame', Togola togola.
9. Hana tuzo nyingi, sijui kwanini lakini hilo pia halimkatishi tamaa.
10. Ni baba wa wake watatu na analea family zote kupitia Bongo Flavor.
Hitimisho:
Kwanini tusimvike taji hili la 'Hall of Fame', 'Bongo Flavor Legendary'?
Ujumbe huu uwafikie Kili Awards na All Media.
Nawasilisha.