Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Hali imekuwa ngumu sana maana maisha yamekuwa tight.

Utakuta jirani yako au ndugu yako hana chakula, mavazi hata watoto wake hawana mahitaji ya shule.

Lakini unakwenda baa unazungusha round za kibabe. Mbaya zaidi inakuwa kila siku.

Kwa hiyo kama kwa wiki unatumia laki kwenye pombe basi punguza utumie sitini elfu, halafu elfu arobaini saidia ndugu na jamaa zako. Nunulia hata watoto wa majirani wasio na uwezo madaftari.
 
We dogo acha kukamatwa akili na akina mwamposa

Kwanini usiseme tupunguze sadaka ili tusaidie wanyonge

Umewahi kuona wapi ombaomba anaenda kuomba kanisani? Always huenda bar ndiko hupata hata mia mbili mbili
Ahaaa, yote heri. Sadaka na mitungi ni vitu viwili tofauti.
 
We dogo acha kukamatwa akili na akina mwamposa

Kwanini usiseme tupunguze sadaka ili tusaidie wanyonge

Umewahi kuona wapi ombaomba anaenda kuomba kanisani? Always huenda bar ndiko hupata hata mia mbili mbili
Tatzo sadaka hatutoi kila siku (sio wote lakn)
 
Acha watu wajipongeze Chief, hizo round wanazopiga hazilingani hata theluthi ya misoto wanayopitia kupata hizo hela wanazojipongeza nazo.

Maisha si lelemama boss kila Mtu ajikune anapofikia.
 
Hali imekuwa ngumu sana maana maisha yamekuwq taight.

Utakuta jirani yako au ndugu yako hana chakula, mavazi hata watoto wake hawana mahitaji ya shule.

Lakini unakwenda baa unazungusha round za kibabe. Mbaya zaidi inakuwa kila siku.

Kwa hiyo kama kwa wiki unatumia laki kwenye pombe basi punguza utumie stini elfu alafu elfu arobaini saidia ndugu na jamaa zako. Nunulia hata watoto wa majirani wasio na uwezo madaftali.
Binadamu ni kati ya viumbe vya hovyo kabisa kuwahi kuishi hapa duniani. Wakati mwingine hua napata mashaka sana kama binadamu kweli ni viumbe wa Mungu!

Unaambiwa hapa duniani, kuna utajiri wa kutosha kabisa kuwafanya binadamu wote waishi maisha "decent" na wapate huduma zote muhimu, lakini ni 1% ya wanadamu ndio wanashikilia 99% ya utajiri! Haya jiulize huo utajiri wanaufanyia nini? Ni starehe.., wanawake.., show off, ulevi, umalaya, kamari, nk.. Wakiona wamechoka wanaanza kuua wenzao huku wao wamekaa pembeni wanaangalia kama kule Ukraine.
 
Hali imekuwa ngumu sana maana maisha yamekuwq taight.

Utakuta jirani yako au ndugu yako hana chakula, mavazi hata watoto wake hawana mahitaji ya shule.

Lakini unakwenda baa unazungusha round za kibabe. Mbaya zaidi inakuwa kila siku.

Kwa hiyo kama kwa wiki unatumia laki kwenye pombe basi punguza utumie stini elfu alafu elfu arobaini saidia ndugu na jamaa zako. Nunulia hata watoto wa majirani wasio na uwezo madaftali.
Hiyo pesa utakayowapa kuwasaidia ndio pesa watakayotumia kufunga riziki yako
 
Wiki laki kwenye gambe? Hiyo mkuu kuna watu ni kwa siku tu, tena ni masaa machache kisha wana withdraw nyingine ya gambe na nyama choma. Life haijawahi kuwa fair kabisa yani
 
Ahaaa, yote heri. Sadaka na mitungi ni vitu viwili tofauti.
Hakuna watoa misaada kama walevi kama haujui Hilo ndio ujue Sasa ..... Nyie mnajuaga kuvaaa na kununua migari tu kuonyesha ufahari mlevi Hana ratiba hizo .... Mi nimeshuhudia kabisa hivi amekunja kanisani baada ya Misa msoma matangazo akasoma kuna mama anashida yupo hapo nje mwenye chochote wapite wamsaidie.

Padre mmoja mjinga sana (samahani nashukuru na parokiani kaondolewa karudishwa India) akazuia waumini kumpa pesa Wala msaaada pale itakusanywa ipelekwe kanisani ndio apelekwe hospital mtu yupo na Mtoto na Hali ni mbaya ...pembeni tu ya parokia Kuna bar Tatu .... Alipitapita humo na sie wengine hatukupeleka kwanza Baraka nyumbani tulikuwa sehemu Moja wapo tunakemea kemea uzee akapita .... Na mule baa akachangiwa fastaaa 50 na akaitwa mtendaji na Mtu wa afya(bima akakatiwa Chf iliyoboreshwa akaendelea na taratibu za matibabu ya mtoto.
 
Back
Top Bottom