Wadau ukiacha HIV, tujuzane dawa kiboko za kutibu magonjwa ya zinaa

Wadau ukiacha HIV, tujuzane dawa kiboko za kutibu magonjwa ya zinaa

Nina week sasa mashine inawasha na inatoa uchafu kama usahaa hasa asubuhi

Nimetumia dawa hizi bila mafanikio
Cefixime 400
Azuma 1g

Hali ikaendelea nimechoma powercef 5 na doxy bado sijapona
Hapa nasubiria majibu ya culture naona yanachelewa msaada kama kuna dawa yoyote ya kienyeji hali ni tete shemej yenu anarud siku mbili hizi na anadai amenimiss sana hapa nachomokaje wazee
mkuu haya mambo hayataki kubahatisha lazma upime kwanza na upate dozi sahihi.

unaweza kukuta hizo dawa za kwanza ndo zingekufaa ila zimedunda saabu umepata dozi ndogo labda. si unajua hata dawa moja inakuwa na ujazo tofautitofauti (zile grams 100/200/250/500) sasa ili upone swsw ni lazma upate dawa yenye ujazo staili kulingana na shida yenyewe ulonayo.

usione aibu fika hospitali na uwe muwazi kwa dokta. usibet na afya. pia kuwa makini na kula pisi. kila lakheri.
 
mkuu haya mambo hayataki kubahatisha lazma upime kwanza na upate dozi sahihi.

unaweza kukuta hizo dawa za kwanza ndo zingekufaa ila zimedunda saabu umepata dozi ndogo labda. si unajua hata dawa moja inakuwa na ujazo tofautitofauti (zile grams 100/200/250/500) sasa ili upone swsw ni lazma upate dawa yenye ujazo staili kulingana na shida yenyewe ulonayo.

usione aibu fika hospitali na uwe muwazi kwa dokta. usibet na afya. pia kuwa makini na kula pisi. kila lakheri.
asante ila dawa zote hizo nimepewa hospital zimedunda
 
Nina week sasa mashine inawasha na inatoa uchafu kama usahaa hasa asubuhi

Nimetumia dawa hizi bila mafanikio
Cefixime 400
Azuma 1g

Hali ikaendelea nimechoma powercef 5 na doxy bado sijapona
Hapa nasubiria majibu ya culture naona yanachelewa msaada kama kuna dawa yoyote ya kienyeji hali ni tete shemej yenu anarud siku mbili hizi na anadai amenimiss sana hapa nachomokaje wazee
Clavum 650g na Doxy. Hakikisha unakula ugali ½kg na maharage ½kg na maji 2ltrs
 
Comment readers Association tujuane tafadhali..
 
Dawa ni kumuona daktari kwanza mengine yatafuata, kingine tuache ngono jmn hali ni mbaya sana mtaani
 
Back
Top Bottom