Wadau ushauri

Kabla ya kufanyia kazi hayo mapendekezo yako,ACHANA NA HUYO ALIYEKUWA MKE WAKO.
LEA WATOTO WAKO KTK HALI AMBAYO ITAWAFANYA WAWE NI IMANI KUBWA SANA NA WEWE,KUSIWEPO MAHANGAIKO HATA CHEMBE.

Baadae oa mke yeyote atakaye kufaa na umuambie kabisa ya kwamba una watoto kabla ya kumtia kibindoni.
Usionekane km una uhitaji wa lazima kwa mwanamke,akubali=akatae kwako safi tu.
 
Mkuu huyo manzi aliondoka na akili yako?Maana inaonyesha unawaza Kwa kutumia mat*ko,unapenda jina la manzi Ili iweje?
 
Itakuwa mwanaume amezidi ulokole huyu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Lymo pole sana we kausha tu huyo mwanamke ameshakuchoka,ni heri akapange chumba na godoro bila kitanda kuliko kukaa na wewe,kwa sababu anazijua yeye labda kapata bwana anamrubuni,
 
We are very open in our relationship and we mean what We talk bro.😊
Bro unamaanisha mko kwenye open relationship?
Maana open relationship si maana yake yeyote akija katikati yenu fresh?
 
Bro unamaanisha mko kwenye open relationship?
Maana open relationship si maana yake yeyote akija katikati yenu fresh?
Hiyo sio maana ya open relationship bro, maana yake Ni;
  • Don't break each other's trust
  • Respect each other's bounderies
  • Be honest to each other
  • Be patient
And on top of all SAFE SEX IS MANDATORY
Najua jibu unalo sasa kama huruhusiwi hata kuweka pua au kunusa tu harufu ya mwanamke wangu kipenzi Lovie Lady
 
An open relationship is a type of consensual and non-monogamous relationship. In this type of romantic relationship, partners aren't exclusively dating one another. The key to successful open relationships is that both partners agree to have other romantic or sexual partners and are honest about it.1

From Google definition of open relationship.
 
Hili ni tukio la kweli au Tamthiria??
 
All I said have been characterized in that definition bro.
 
Usipate shida,
Acha kulia lia....
Billionaire katengeneza mademu wa kali zaidi ya huyo wako,
Nenda kaweke order yako akufinyangie mrembo mwenye sura na kishundu kama wako, afu j8na utamwita hilo hilo
 
Kwani alikutoa bikra?! [emoji1787][emoji1787]
Acha ubwege songa mbele km injili
 
Ok bro but nahisi kaukakasi. So akiwa na sexual partners wengine akawa honest about it, uko tayari kwa hili?
Kuna magonjwa ujue
Mkuu nilitaka kupima tu uwelewa wako, na nini hasa ungeongea juu ya sweetheart wangu Lovie Lady kiufupi uko vizuri kwenye maswala ya relationship. All in all mimi na Lovie tuna mengi ya kushare maishani mwetu na kuunda familia itakayompendeza Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…