Messier 31
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 459
- 1,117
Mimi ni mmoja kati ya wanaojifunza hii biashara ya fedha za kigeni,
Katika kusomasoma vitabu na kupata uelewa kidogo kuhusu forex nimekuwa na sintofahamu moja ambayo nadhani kwa wale ambao kwasasa wanatrade wanaweza kunisaidia
Nataka kujua kama mimi mtanzania ambaye natumia Tsh naweza kutrade pairs kama EUR/USD or USD/JPY na kupata faida maana katika elimu niliyopata kidogo naona kama hamna faida kutokana na kuwa rate ya changes ya pair moja ni sawa na rate ya changes kwa currencies zingine.
(Tuchukulie mfano rahisi)
Nimesema tena mfano rahisi maana wabongo nawajua kwa ku kosoa
EUR/USD=1
EUR/TZS=2000
USD/TZS=2000
mfano, usd ikashuka thamani na pair ikawa EUR/USD=2
kwa maana hiyo us dollar itashuka thamani kwa rate hiyo hiyo kwa pesa zingine, na dollar kwa Tanzania itakuwa hivi
USD/TZS=1000
Hapo ukiwa ume buy
EUR/USD=1 kwa dollar moja ambapo kwa wakati huo us dollar ni sawa tsh 2000
na biashara ikawa upande wako na pair kuwa EUR/USD=2 utakuwa na faida ya $1 ambapo kwa kuwa dollar imeshuka thamani kwa Euro na kushuka thamani kwa rate hiyohiyo kwa currencies zingine ikiwepo TZS na kuwa $1 ni sawa na 1000 hivyo hizo usd 2 ulizozipata ukizi exchange kwa hela ya tanzania ambapo pia dollar imeshuka thamani kwa tzs na kuwa USD/TZS=1000 utakuwa na 2000 ileile ambayo uliitumia kununua EUR 1.
Sasa hapa sijui faida ikowapi,
Naomba kwa wataalamu wa frx waniondoe huu utata.
Katika kusomasoma vitabu na kupata uelewa kidogo kuhusu forex nimekuwa na sintofahamu moja ambayo nadhani kwa wale ambao kwasasa wanatrade wanaweza kunisaidia
Nataka kujua kama mimi mtanzania ambaye natumia Tsh naweza kutrade pairs kama EUR/USD or USD/JPY na kupata faida maana katika elimu niliyopata kidogo naona kama hamna faida kutokana na kuwa rate ya changes ya pair moja ni sawa na rate ya changes kwa currencies zingine.
(Tuchukulie mfano rahisi)
Nimesema tena mfano rahisi maana wabongo nawajua kwa ku kosoa
EUR/USD=1
EUR/TZS=2000
USD/TZS=2000
mfano, usd ikashuka thamani na pair ikawa EUR/USD=2
kwa maana hiyo us dollar itashuka thamani kwa rate hiyo hiyo kwa pesa zingine, na dollar kwa Tanzania itakuwa hivi
USD/TZS=1000
Hapo ukiwa ume buy
EUR/USD=1 kwa dollar moja ambapo kwa wakati huo us dollar ni sawa tsh 2000
na biashara ikawa upande wako na pair kuwa EUR/USD=2 utakuwa na faida ya $1 ambapo kwa kuwa dollar imeshuka thamani kwa Euro na kushuka thamani kwa rate hiyohiyo kwa currencies zingine ikiwepo TZS na kuwa $1 ni sawa na 1000 hivyo hizo usd 2 ulizozipata ukizi exchange kwa hela ya tanzania ambapo pia dollar imeshuka thamani kwa tzs na kuwa USD/TZS=1000 utakuwa na 2000 ileile ambayo uliitumia kununua EUR 1.
Sasa hapa sijui faida ikowapi,
Naomba kwa wataalamu wa frx waniondoe huu utata.