Wadau wa forex trading nisaidieni hapa

dah. Nitacheka zaidi kama hiyo account uliyokuwa unatrade ni real halafu uwe hujui hela imeenda wapi... kama ni demo sitashangaa... .ila umekurupuka kuanza kutrade boss.... rudi ukaendelee kusoma kwanza
 
Najifunza mzee baba ,,mimi genius napenda kujifunza mwenyewe.

Nieleweshe kuchoma account kunatokana na vitu gani???
Sasa unauliza nini na umesema wewe genius na unapenda kujifunza mwenyewe
 
Reactions: 911
Kuna anguko kubwa la GPBUSD nunueni haraka sanaaaaaaaa baadae mje mpate profit za kutoshaaaaaaa
 
Kuna anguko kubwa la GPBUSD nunueni haraka sanaaaaaaaa baadae mje mpate profit za kutoshaaaaaaa
Mkuu samahani hii ni nini unachokisema

Tununue tubufadhi baadae tupate faida hii forex ni ipi unayoizungumzia wewe?
 
Nimejifunza namna ya kuunguza account nlkuwa sijui kuhusu hili.

Asanteni sanaa naendelea sanaaa kujifunza.
 
Margin level ilikuwa chini ya 100% broker anacho fanya niku close some positions kuongeza margin, kuna some broker ata funga position zote ,
Amesema hamba hela kabisa mkuu
 
Sasa mbona unatuuliza wakati wewe ni genius unaejifunza mwenyewe!

Kama ni kweli hujui pesa imeenda wapi nakushauri uache kutrade, then jifunze mpaka utakapojua ni nini unafanya!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona unamvunja moyo si amesema anajifunza
 
Fund again your account broh. Ushachoma tayari.
 
Sasa mbona unatuuliza wakati wewe ni genius unaejifunza mwenyewe!

Kama ni kweli hujui pesa imeenda wapi nakushauri uache kutrade, then jifunze mpaka utakapojua ni nini unafanya!
[emoji23]
 
Hizi promo za kishamba sana,

Waacheni watu watafiti wapate broker wao wenyewe,

Achaneni na comission,

Trader gani wewe badala ya kutrade kila siku unatangaza broker?
 
tunawambia forex ni.utapeli hamsikii mnakua vichwa ngumu haya sasa
Sasa wewe pilipili usiyoila inakuwashia nini?

Yaani makande ale mwingine wewe uhangaike kujamba?

Agongwe mwingine wewe ukazane kukata viuno

Ni kweli forex ni utapeli sawa acheni wanaotaka kutapeliw watapeliwe

Wewe inakuuma nini kama mtu ushamuelimisha na akagoma kusikiliza mawazo yako

Wote hatuwezi kuwa mabenki teller kama wewe mkuu

Anyway ni utapeli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…