Wadau wa habari wamemshauri Sam Mahela apunguze kuvaa suti za kung'aa

Anajiandaa kufungua kanisa lake aanze kupiga pesa
 
Apunguzage mbwembwe..
sometimes anajipendekezaga kwa serikali sjui anataka cheo gani?
 
Afu ile staili ya kuinuka kwa mguu mmoja huku anarepoti taarifa inayoendana na ukandamizi utadhani anawatetea wanyonge aisee huwa ananifurahisha sana pale
 
haha haha Tanzania ya ming'aradiko
 
Pia mwambie bwana yule wa magogoni apunguze kuvaa mi suti mikubwa mikubwa over size [emoji1] [emoji1]
[emoji23] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]
 
Mimi mbali na suti sipendi ana sifa sana saa anahoji,hampi mhojiwa muda wa kueleza jambo anaongea yeye zaidi,aache sifa.
 
Jamaa fresh,HV kwann watu hamuishi maneno,achen jamaa afanye kazi take vizuri in anavyofanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…