4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Hii nchi sasa imekumbwa na laana ,hizi dam ambazo zinamwagika bila hatia , zitatafuna watu mpaka watajua hawajui mda mwalim mzuriTLS, LHRC , Vyama vya Siasa na wadau wote wa Haki Nchini.
Haya Machozi ya Hawa wazazi yasiende Bure .
Wakati tunapaza sauti zetu kuhusu yule Binti alobakwa, Tukumbuke hapa Kuna Kijana Mdogo ambaye Ameuliwa kama alivyouliwa yule Binti wa Chuo wakati wa maandamano.
View: https://youtu.be/oTXNjAP1CAU?si=ONrlrRVCRxZkRWJx
It might not make so much difference lakini inaweza kuwa muendelezo wa kufichua maovu ya Polisi hasa wa awamu hii, upload hizo footage za dashcam kwenye social media. Tag watu wenye influence and spread awareness ya Police brutality under Samia Suluhu's regime.Business as usual. It seems there is a systemic abuse of police power mkoa wa Simiyu.
Less than 2 weeks ago askari wa huo huo mkoa wa Simiyu, makao makuu yao Bariadi, waligeuza simple traffic offence - fender bender ya parking - kuwa kipigo kizito, wakanijeruhi, mixer kunikalia kooni nilipotaka kusimama ili tuendelee na mazungumzo. Mwishowe waliniweka ndani, na ilitumika backup ya mwenyeji wangu, mtu mzito hapo wilayani ili mimi kutoka.
Nakumbuka vizuri askari aliyekuwa mstari wa mbele kunipiga kesho yake aliniambia "yani wewe una bahati, sisi huwa tunapiga sana bro"
Nilieleza kituoni kwa mkubwa wao kuwa tukio zima limerekodiwa video na sauti kwenye dashcam za gari yangu, kama wakitaka tu open up evidence. Niliachiwa bila masharti, nikabaki na majeraha yangu. Jicho, mdomo, shingo, na visigino vya miguu yote miwili. Mguu wa kushoto ulipata 'pitting edema', and As I write this, bado unatoa usaha na damu kwa mbali.
Sishangai askari hao hao kumuua huyu kijana, kwani kwa maneno yao ni fahari wao kupiga watu pale wanapojiskia.
Twisting ya maneno niliyoishuhudia pale, sidhani kama nitakuja kuamini lolote askari wanalosema.
Hazitasaidia sana kwasababu zinahitaji uijue background story yote, ila zingethibitisha pale kituoni au mahakamani kwamba matumizi yao ya nguvu hayakuwa warranted na pia walipindisha story a.k.a kugeuza maneno.It might not make so much difference lakini inaweza kuwa muendelezo wa kufichua maovu ya Polisi hasa wa awamu hii, upload hizo footage za dashcam kwenye social media. Tag watu wenye influence and spread awareness ya Police brutality under Samia Suluhu's regime.
Huyu mama akili hana wangemuuwa nayeyeTLS, LHRC , Vyama vya Siasa na wadau wote wa Haki Nchini.
Haya Machozi ya Hawa wazazi yasiende Bure .
Wakati tunapaza sauti zetu kuhusu yule Binti alobakwa, Tukumbuke hapa Kuna Kijana Mdogo ambaye Ameuliwa kama alivyouliwa yule Binti wa Chuo wakati wa maandamano.
View: https://youtu.be/oTXNjAP1CAU?si=ONrlrRVCRxZkRWJx
Watu watatu walikufa papo hapoHaya ni madhara ya kua na askari Dara la Saba , ambao kwao hutanguliza Nguvu .
Hivi Kesho la Polisi lilishindwa kutumia Mabomu ya machozi, au Risasi baridi ,au maji washawasha??.
Mpaka mfyatue Risasi??.
Inawezekana kabisa, Kukawa na mauaji Kadhaa yalotokea kwenye Sakata hil, na huyu Kijana ni Mmoja wao.
ElewaMimi mpaka sasa sijaelewa Ghasia za Lamadi zilisababishwa na nini?!
Walikuwa wanajihusisha na Siasa za Upinzani?!Elewa
mafiMimi na Magufuli ni kitu kimoja.
Hivi kwanini kuna polisi wakatili hivyo?Aisee am still trying to figure out, yaan mtoto wa miaka 18 hapo mwenye Ndoto zake, anauwawa kikatili namna hii, as if alikua jambazi ?.