Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 190
Watanzania tunaaminika kuwa ndiyo wenye asili ya Lugha ya Kiswahili. Lakini kuna maneno mengi ambayo tumekuwa tukiyatumia isivyostahili. Mathalan, ni lipi jina sahihi la mkono ambao wengi wetu huwa tunautumia sana kama kiongozi wa shughuli zinazofanywa na miili yetu, je ni mkono wa kuume au wa kulia?.
Ningependa nipate maoni yenu wadau wa JF kabla na mimi sijatoa yakwangu ninayoyafikiria. Uwanja ni wenu
Watanzania tunaaminika kuwa ndiyo wenye asili ya Lugha ya Kiswahili. Lakini kuna maneno mengi ambayo tumekuwa tukiyatumia isivyostahili. Mathalan, ni lipi jina sahihi la mkono ambao wengi wetu huwa tunautumia sana kama kiongozi wa shughuli zinazofanywa na miili yetu, je ni mkono wa kuume au wa kulia?.
Ningependa nipate maoni yenu wadau wa JF kabla na mimi sijatoa yakwangu ninayoyafikiria. Uwanja ni wenu
Yanaashiria maana moja lakini matumizi yake hutegemea sana muktaza (context). Kwa mfano nadhani si sahihi kusema 'mkono wa kuume'; sahihi ni 'mkono wa kulia'. Vivyo hivyo si sahihi kusema 'upande wa kulia'; bali 'upande wa kuume'.
Yanaashiria maana moja lakini matumizi yake hutegemea sana muktaza (context). Kwa mfano nadhani si sahihi kusema 'mkono wa kuume'; sahihi ni 'mkono wa kulia'. Vivyo hivyo si sahihi kusema 'upande wa kulia'; bali 'upande wa kuume'.