Kichankuli
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 887
- 190
Watanzania tunaaminika kuwa ndiyo wenye asili ya Lugha ya Kiswahili. Lakini kuna maneno mengi ambayo tumekuwa tukiyatumia isivyostahili. Mathalan, ni lipi jina sahihi la mkono ambao wengi wetu huwa tunautumia sana kama kiongozi wa shughuli zinazofanywa na miili yetu, je ni mkono wa kuume au wa kulia?.
Ningependa nipate maoni yenu wadau wa JF kabla na mimi sijatoa yakwangu ninayoyafikiria. Uwanja ni wenu
Ningependa nipate maoni yenu wadau wa JF kabla na mimi sijatoa yakwangu ninayoyafikiria. Uwanja ni wenu