Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Naona kuna wapenz wengi , nna plan ya kuanzisha wrestling promotion aisee sema ya kishkaji tu , tunajitrain kuhusu wrestling moves na namna ya kuvaa uhusika i mean character utakayochagua then kwa kuanza tunakuwa tunapromote kwenye youtube na sehemu tofauti, hapo mnaonaje wadau????
Ebu fafanua vizuri mkuu, kama sjaielewa vile idea yako ingawaje inaonekana nzuri
 
Naona jinsi wale wavivu wa kuamka usiku kuangalia live monday night raw wanavyosubiri kwa hamu kuangalia marudio saa tatu usiku huu ili waone jinsi the shield walivyotembeza virungu leo!![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Nimefungua nikadhani mnazungumzia mieleka kumbe haya maigizo!?
Mnaoangalia ujinga huu mtakuwa hamna kazi za kufanya .
Mieleka walikuwa wanacheza kina power Bernardo,
Jaffary Vuru"Mroma"
Power Savimbi,
Costa Mwebe na wababe wengine wa kipindi kile!



Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe unayeandika hapa utakuwa huna kazi za kufanya
 
Naona jinsi wale wavivu wa kuamka usiku kuangalia live monday night raw wanavyosubiri kwa hamu kuangalia marudio saa tatu usiku huu ili waone jinsi the shield walivyotembeza virungu leo!![emoji1][emoji1][emoji1]
Marudio ya jana pia nimeakosa! Vp the shield waliwapa kichapo akina nani?
 
Marudio ya jana pia nimeakosa! Vp the shield waliwapa kichapo akina nani?
Wacheza mieleka wote walikuja kuwashambulia the shield kama ilivyokuwa wiki iliyopita ila ghafla wakakutana na virungu vya moto na wakakimbia wote!!(The shield walikuja na rungu zao)[emoji1][emoji1][emoji1].....ila habari njema ni kwamba sasa hivi WWE kuna tag team ya Seth rollins na Dean Ambrose na wana mechi dhidi ya akina Drew Mcintyre na Dolph Ziggler siku ya hell in a cell!![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aya sasa tuhamie kwa kina aj styles yaan Tuesday smackdown live [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wacheza mieleka wote walikuja kuwashambulia the shield kama ilivyokuwa wiki iliyopita ila ghafla wakakutana na virungu vya moto na wakakimbia wote!!(The shield walikuja na rungu zao)[emoji1][emoji1][emoji1].....ila habari njema ni kwamba sasa hivi WWE kuna tag team ya Seth rollins na Dean Ambrose na wana mechi dhidi ya akina Drew Mcintyre na Dolph Ziggler siku ya hell in a cell!![emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo IC champion haitagombaniwa kwenye HIC
 
Kwa hiyo IC champion haitagombaniwa kwenye HIC
Hata mimi najiuliza sana hilo swali ila kaimu general manager(Baron corbin) kwenye monday night raw ametangaza mechi ya tag timu ya Seth rollins,Dean Ambrose vs Drew,Dolph Ziggler ila kwa jinsi Seth rollins alivyo fighting champion anaweza pia akadefend mkanda wake siku hiyohiyo!
 
Hata mimi najiuliza sana hilo swali ila kaimu general manager(Baron corbin) kwenye monday night raw ametangaza mechi ya tag timu ya Seth rollins,Dean Ambrose vs Drew,Dolph Ziggler ila kwa jinsi Seth rollins alivyo fighting champion anaweza pia akadefend mkanda wake siku hiyohiyo!
Hapo WWE watakuwa wamezingua coz haiwezekan mikanda yote 3 wapiganaji wakatoka kwenye crew moja ya The Shield
 
Hata united states championship haitokuwepo hell in a cell.... Namuonea huruma nakamura ana mkanda ila hana wa kupigana nae
Kwanini WWE wasingeweka match ya Triple threat baina ya Nakamura, Jeff Hardy na RKO wagombanie US championship tena kwenye steel cage
 
Kwanini WWE wasingeweka match ya Triple threat baina ya Nakamura, Jeff Hardy na RKO wagombanie US championship tena kwenye steel cage
Yaani hapo tu wananshangaza, maana summerslam nlidhani itakua hiyo triple threat instead ikawa Hardy vs Nakamura... Nkahope itakua hell in a cell ila tena ndo hivyo... Inakuaje una stat mkubwa kama Nakamura tena ana mkanda halafu unamuacha kwenye PPV!!!? haimake sense
 
Yaani hapo tu wananshangaza, maana summerslam nlidhani itakua hiyo triple threat instead ikawa Hardy vs Nakamura... Nkahope itakua hell in a cell ila tena ndo hivyo... Inakuaje una stat mkubwa kama Nakamura tena ana mkanda halafu unamuacha kwenye PPV!!!? haimake sense
WWE wamebase kwenye bifu la Hardy na RKO ambapo kama wangemuongeza Nakamura mechi ingezidi kuwa taam
 
WWE wamebase kwenye bifu la Hardy na RKO ambapo kama wangemuongeza Nakamura mechi ingezidi kuwa taam
Tatizo Hardy na RKO tushaona bifu lao mwaka 2009 kwa WWE championship... Ni nafuu kama unavyosema kupata kitu kipya kwa kumuongeza Nakamura, ila tatizo management ya WWE inaonekana hawa muelewi Nakamura....
 
Hata mimi najiuliza sana hilo swali ila kaimu general manager(Baron corbin) kwenye monday night raw ametangaza mechi ya tag timu ya Seth rollins,Dean Ambrose vs Drew,Dolph Ziggler ila kwa jinsi Seth rollins alivyo fighting champion anaweza pia akadefend mkanda wake siku hiyohiyo!
Mtu aliyekuwa anataka huo mkanda ni doph Ziegler, kwa kuwa na yeye ana match ya tag team championship, kuna mawili.
1; intercontinental championship isiwepo.
2; Ikawepo kati ya Seth na Ziegler ambapo wote watacheza match mbili mbili.
 
Back
Top Bottom