george mawale
Member
- May 16, 2017
- 38
- 38
Dah naona soon The shield watadominate Raw watakamata mikanda yote pale raw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa unadhani uyo boya anaweza kumpiga StromenKwa kuwa wewe ni Roman hater anza sasa kumshabikia Braun Strowman coz tar 16 sept kwenye Hell in a Cell, main event itakuwa ni Braun vs Roman cage match
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna match itayopigwa October nchini Australia kati ya The Game vs Undertaker inaitwa SUPER SHOW DOWNMi sijaelewa kinacjoendelea kati ya triple H na undertaker
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Asa unadhani uyo boya anaweza kumpiga Stromen
Behaviorist mwenyewe anajua sema tu anajitoa ufahamu. ..Kile kichapo alichokula kwa Brown Stromen hana hats hamu, sema anajipa moyo kina Seth rollings wataingilia.[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Behaviourist unamsikia Baba mtakatifu anachosema
Baba mtakatifu atapata taabu sana![emoji1][emoji1][emoji1]....Strowman ni kubwa jinga!....Akipigwa superman punch moja tu ya big dog huwa analewa!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Behaviourist unamsikia Baba mtakatifu anachosema
Hivi hapa Bongo hatuwezi anzisha Wrestling, naona kama huu mchezo unalipaBaba mtakatifu atapata taabu sana![emoji1][emoji1][emoji1]....Strowman ni kubwa jinga!....Akipigwa superman punch moja tu ya big dog huwa analewa!!
Cjaona wachezaji.Hivi hapa Bongo hatuwezi anzisha Wrestling, naona kama huu mchezo unalipa
Tukiuanzisha hapa bongo mechi ya kwanza ni mimi vs wewe!Hivi hapa Bongo hatuwezi anzisha Wrestling, naona kama huu mchezo unalipa
[emoji23] [emoji23] Mzee ntakupiga RKO moja iyo,Tukiuanzisha hapa bongo mechi ya kwanza ni mimi vs wewe!
Mimi nitakuzima na end of the day moja![emoji23] [emoji23] Mzee ntakupiga RKO moja iyo,
Hii mechi itabidi iwe TRIPLE THREAT MATCH na Mimi niwepoTukiuanzisha hapa bongo mechi ya kwanza ni mimi vs wewe!
Halafu itakuwa ni hell in a cell mkuu!Hii mechi itabidi iwe TRIPLE THREAT MATCH na Mimi niwepo
Sasa mshindi atapikana kwa pinfall au kwa style IPI???Halafu itakuwa ni hell in a cell mkuu!