danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,524
Hahha.....Basi itabidi Tuandae mkanda wa kushindaniwa, alafu mechi itafanyikia beach kwenye mchanga.....Alafu tutunge kanuni za mchezo kwanza nsije nikampiga mtu Rest in Peace nikaja pewa kesi bureeeeNaona bora iwe tag team mm noungane na the shield mwenzangu behaviorist
Strowman ni kubwa jinga,akipigwa superman punch moja na the big dog huwa analewa!!Kwenye HIC Strowman atachukua Universal champion labda kina Ambrose na Seth waingilie
Plan yao WWE ni simple!....wanataka atakaeshinda kati ya Jeffy Hardy au Randy Orton aanze kukimbizana na Nakamura mwanzo mwisho!Yaani hapo tu wananshangaza, maana summerslam nlidhani itakua hiyo triple threat instead ikawa Hardy vs Nakamura... Nkahope itakua hell in a cell ila tena ndo hivyo... Inakuaje una stat mkubwa kama Nakamura tena ana mkanda halafu unamuacha kwenye PPV!!!? haimake sense
Ni kweli hupigana ndiyo maana kila mwaka kuna wachezaji kibao wa mieleka huwa wanaumia na wanaenda likizo ndefu kutibiwa majereha mfano Dean Ambrose, Jason jordan,Sami Zayn e.t.c.....hata Daniel Bryan kuna kipindi aliumia akatangaza kustaafu ila baada ya kupona alirudi tenaNaomba kujua, hivi mieleka wanapigana kweli au maigizo, naona Kuna Muda mtu anapigwa Katika ngazi, au meza Alafu apasuki ni kweli Ile jamani
Niko macho umeme umekatikaKwa wale ambao wameshaamka kama mimi kwa ajili ya kuangalia hell in the cell tujuane please!!
Kwa sababu show yenyewe inaanza saa nane umeme utakuwa umesharudi mkuu!!.....Mimi nimefunga kabisa back up sitaki interruption ya kukatika umeme mie!Niko macho umeme umekatika
Haha. Kazi kweli kweli. Hamna namna usiporudi marudio si yapo?Kwa sababu show yenyewe inaanza saa nane umeme utakuwa umesharudi mkuu!!.....Mimi nimefunga kabisa back up sitaki interruption ya kukatika umeme mie!
Umeweka generator?Kwa sababu show yenyewe inaanza saa nane umeme utakuwa umesharudi mkuu!!.....Mimi nimefunga kabisa back up sitaki interruption ya kukatika umeme mie!
Hapana,natumia UPS mkuu( uninterruptible power supply)Umeweka generator?
Ndio nimeamka na subiria tu muda ufikeKwa wale ambao wameshaamka kama mimi kwa ajili ya kuangalia hell in the cell tujuane please!!
Marudio yapo leo jioni supersport 9!Haha. Kazi kweli kweli. Hamna namna usiporudi marudio si yapo?
Nisipoangalia maana yake sitasoma huu uzi nisijue kilitokea nn ili ni enjoy marudio
Naona pre-show imeanza!...supersport 8Ndio nimeamka na subiria tu muda ufike