Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Ijumaaa kwenye crown itakua hapatoshi
 
Yule ni fala tu, dogo finn balor mwenyewe ana uwezo wa kumpush to limit!......sisi tunataka achukue mkanda mtu ambae atasababisha tuone huo mkanda unawaniwa kwenye mechi za raw deile ila huyo fala ataenda kulala nao nyumbani kwake na mke wake!!
Upo sawa kabisa, bila kukwepesha macho tunataka watu kama roman akae na mkanda asumbue hakuna wa kumnyang'anya harak kama AJ style vs samoa joe jinsi samoa anavypota tabu kumnyang'anya mkanda AJ STYLE .... Ijumaa tusubiri tuone
 
Muulize undertaker atakuelezea vzr kuhusu kipigo alichopokea kutoka kwa the beast maana yeye ndie aliyemtoa bikra..brock kwa sasa hana mpinzani wwe ata huyo roman hamwezi.
Acha kuongea kwa ushabiki.... Zungumza ukweli
 
Upo sawa kabisa, bila kukwepesha macho tunataka watu kama roman akae na mkanda asumbue hakuna wa kumnyang'anya harak kama AJ style vs samoa joe jinsi samoa anavypota tabu kumnyang'anya mkanda AJ STYLE .... Ijumaa tusubiri tuone
Mkanda wa heavy weight wa Raw anapewa Monster Among Men, mieleka huwa wananamna ya kumpata bingwa
 
Babylash kaingia katika kinyang'anyiro kwa kupewa tu
 
washindi ni hawa wafuatao:brothers of destruction,mnyama mwenyewe reining,difending,undisputed,universal heavyweight champion burooooooooook lesnar a.k.a the beast,the bar is open for business,aj lazima ajinyenyeee uwanjani hawez na hajawai kuchomoa kokina ya samoe joe
 
anapewaje mkuu?
Hivi huwa huoni katika mieleka kuna kipindi wanampa promo mtu 1 hadi unashangaa Mfano Lashley alivyokuwa anataka kurudi WWE alitangazwa sana, navyoona mm taji atakuwa nalo Monster
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…