Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Mbona andiko lako linathiibitisha wewe mwenyewe una mtindio was ubongo!?
 
Atapa kipigo kila kona, akiwa chooni, kwenye gari.. Si unamjua monster alivyo kichaa lazima mvunje mahali kwanza.. Atamkimbiza kama Kevin alivyo fanyiwa
Kevin Owens alipataga kipigo cha mbwa koko!!
 
Hili ndio tatizo la mwanamke kukosa mgegedaji
 
Huyu mwanamke nina mashaka nae kama huwa anaoga ahsubuh huyu

Au la basi mumeo kakunyima dushe ili aangalie Crown Jewel
 
Pumbavu kabisa! Braun kajitahidi kuvumilia 4F5s, si mchezo. Japo constable kamharibia
Kajitaidi wapi tuwe tunakubali ukweli kuwa Braun hamwezi Brock Lesnar.mara ya nne Kama sio ya tano anapigwa Tena na mnyama brock
 
Kwenye survivor series hili dude the beast litakutana na AJ styles basi kama ni likali sana kama linavyodai basi limpige AJ styles F5 tano kwa dakika tatu kama lilivyofanya kwa Broun Strowman!!
Brock kashawahi kumpiga huyo aj styles.kifupi kwasasa Hana mpinzani
 
Kajitaidi wapi tuwe tunakubali ukweli kuwa Braun hamwezi Brock Lesnar.mara ya nne Kama sio ya tano anapigwa Tena na mnyama brock
Kajitahidi sanaaa, wangapi wanaweza kuvumilia F5 hata mbili? Ukipigwa ile F5 moja ndio basi ila jamaa kavumilia NNE
 
Huyo mwanaume aliyekuoa na akakuzalisha huyo ndio Ana msiba mzito maana kichwani upo empty.nawahurumia wanao hasa debora
 
Ifike mahali huyu mnyama Brock Lesnar apewe heshima zake zote.huyo Braun Kila siku anapigana mechi,mnyama katulia nyumbani anacheki muvi ila karudi na kampiga si chini ya dakika10.bado kuna watu bado wanataka apigane Kila siku ataua watu uwanjani
 
Marudio ya pambano la DX na Brothers Destruction! Linaendelea S11
 
Ifike mahali huyu mnyama Brock Lesnar apewe heshima zake zote.huyo Braun Kila siku anapigana mechi,mnyama katulia nyumbani anacheki muvi ila karudi na kampiga si chini ya dakika10.bado kuna watu bado wanataka apigane Kila siku ataua watu uwanjani
But Constable Corbin aliharibu game kwa kuanza kumshambulia Strowman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…