Elias Bihemo
Member
- Jul 4, 2017
- 22
- 8
Huwa anazungumza logic na ana akil sanaPaul hyeman uyu mzee ana maneno na mawenge
Kweli Huyu jamaa sijui yupo wapiHivi Goldberg yupo wapi alinipigiaga Brock lesnar Survivor series kwa dakika tu alichezea spear 2 akamaliza kazi
Huyu si amestaafu cku nyingi.Kweli Huyu jamaa sijui yupo wapi
Alirudi tena pambano lake la kwanza alipangiwa na Brock Survivor seriesHuyu si amestaafu cku nyingi.
Alirudi tu 1 time cos wwe ilikosa mpnzan wa lesnar, yaan ni km itakavyokuwa undertaker kuonekan kwny mania 34.Alirudi tena pambano lake la kwanza alipangiwa na Brock Survivor series
Brock hachomoki kwa the big dogUkweli mchungu..... Roman reigns hamuwez Brock Lesnar.... Full stop
Alexa atapigwa tu, Alexa mjanja mjanjaNatamani kuona pambano la Alexa na Nia Jux.
Wrestlemania kwa saa za huku kwetu(Afrika Mashariki) itakuwa live leo(jumapili) kuanzia saa sita ya usiku hadi saa tatu asubuhi kesho kupitia supersport 8![emoji116]......Marudio yatakuwa supersport 9 kesho jumatatu(09/04/2018) kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa sita ya usikuWadau kesho sangap kwa masaa yetu ya afrika mashariki?Chanel zipi zinaonyesha?
Demiss Mshana jr ewaaaaaaah!![emoji28][emoji28][emoji28]Finn balor Nakamuraaa ewaaaah
Aiseee nasikia kuna Royal Rumble sjui ndo ilikuwa jana au nimechanganya madesaaaDemiss Mshana jr ewaaaaaaah!![emoji28][emoji28][emoji28]
Rafiki umechanganya madesa,royal rumble ilishafanyika siku za nyuma huko!Aiseee nasikia kuna Royal Rumble sjui ndo ilikuwa jana au nimechanganya madesaaa
Aiseeee napenda sana mieleka sema muda nakosa wa kuangalia ila mm nampenda Finn Balor balaaaaRafiki umechanganya madesa,royal rumble ilishafanyika siku za nyuma huko!
Demiss bora ukamsaidie mshana kwenye mitishamba huku sio kwako.Aiseee nasikia kuna Royal Rumble sjui ndo ilikuwa jana au nimechanganya madesaaa
Mkuu nakuheshimu mm nimeuliza siyo unakejeli jiheshimuuu tusiharibiane sikuDemiss bora ukamsaidie mshana kwenye mitishamba huku sio kwako.
Now ni wreslemania
Soma vizur comment zanguuDemiss bora ukamsaidie mshana kwenye mitishamba huku sio kwako.
Now ni wreslemania
[emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahisha sana....ila swali zuri Ngoja nikujibu..Aiseee nasikia kuna Royal Rumble sjui ndo ilikuwa jana au nimechanganya madesaaa