Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
-
- #721
Mimi nakukumbusha tu usisahau kutuma fifty kwa uliobeti nao mkuu![emoji53][emoji53][emoji53]Haya kwa wapenz wa ASUKA.... Kwa mara ya kwanza kachezea kichapo
Hiv huyu dada aliempiga asuka ni mtoto wa ricky flair?Haya kwa wapenz wa ASUKA.... Kwa mara ya kwanza kachezea kichapo
Atakuwa kapewa ujumbe taker yumo ndani ya nyumba.... [emoji2] [emoji2] [emoji2]kuna nn mbona cna kakimbilia ndani
maybeAtakuwa kapewa ujumbe taker yumo ndani ya nyumba.... [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maana alikuwa anamlilia sana anataka pambano nae...maybe
na amelilia sana ngoja tusubiliMaana alikuwa anamlilia sana anataka pambano nae...
Ngoja tusubili tuone itakuaje.....
ndiyo!Hiv huyu dada aliempiga asuka ni mtoto wa ricky flair?
Sawa sawa mkuu tutajulishana.... naona randy anaingia uwanjaniJamani ikianza match mpya tuambiane wngn tunatumia mobdro matangazo ni meng so tunapumzika kiaina kuokoa bando.
United state champion imeanza sasa!Jamani ikianza match mpya tuambiane wngn tunatumia mobdro matangazo ni meng so tunapumzika kiaina kuokoa bando.
Ndo imeanza hivyoJamani ikianza match mpya tuambiane wngn tunatumia mobdro matangazo ni meng so tunapumzika kiaina kuokoa bando.
Mechi imeanza naona rusev anagawa doziSawa sawa mkuu tutajulishana.... naona randy anaingia uwanjani
Mzee baba Umeanza kufeli..... ASUKA kashachezea..... Hapa naaza kumwamini mkuu aliesema Duniani Kuna watu wanajua kuongea.....Sio kujua. Ila kutokana na trend za matukio ndio hata wewe unaweza kuotea nini kitatokea.
AJ atapigwa na Nakamura sababu kubwa ni kibiashara zaidi kama ambavyo walimpa mkanda MARAHAJA WAKIHINDO yule sababu wana fan base kubwa sana na india ina watu wengi na walivyomaliza safari za india wakampokonya mkanda. So now ni time ya Japan nako kuna watu wengi so interm of business itakuwa juu sana.
So.posibbility ya Asuka na Nakamura kushinda ni 95% kwa sababu niliyoainisha hapo juu.
Kwa lesnar na Big dog...sababu kubwa ambayo itamfanya lesnar ashindwe ni yeye kurudi UFC na kuwa Big Dog ni kipenzi mkubwa wa McMan mmiliki wa WWE.....so big dog ni 95% pia.
ALEXA ....ni 96% kushinda sababu yeye ana kipaji cha kuongea ( hii nayo ni sifa kubwa kuwepo wwe kama alivyokuwa ENZO) but kuna posibility ya kimodo kucash in kibrifcase kwa asuka vs qeen au kwa alexa vs nia jax maana wengi wana cash in kwa wreslemania)
Daah tutakuwa hatukai Sasa kwa matamboJidal mahandal bingwa united state championship