Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Dstv wanaonyesha live?stroman kamtag dogo nichola achukuanae uxhind
Yap wanaonesha live s8Dstv wanaonyesha live?
Aje yule aliyekuja na utabiri wake wa kuchwara na kutaka kutuaminisha kuwa ushindi unapangwa...... Karibu yote aliyotabiri holaTunahitimisha vp sasa wadau, mieleka ni maigizo au uhalisia!?
Mzee Ntumie mzigo wanguTuweke mzigo mezani,mimi nasema Roman reign atashinda!!
ndio ila game zimeixha mkuuDstv wanaonyesha live?
The beast hafai ni hatari aisee, roman hatarudi paleHaya kamchukueni big dog wenu mkamzike.... Pumbav
Wewe ulivyoahidi kwa dhati na kutoka moyoni kwa uma wa watanzania kuwa Asuka na Nakamura watashinda huo mzigo unampa nani mkuu???Mzee Ntumie mzigo wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Au ile pia imepangwa [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomi mkali.Women battle royal, the winner is Naomi
Yes, mtoto wake wa kuzaa kabisaHiv huyu dada aliempiga asuka ni mtoto wa ricky flair?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wale wauaji wamechukua mkanda ila USO nawasifu sana kwani wamejitahidi kidogo kuwapa kichapo compare to new day!.....USO na new day wasahau mkanda wa tag team kwa sababu haya mashetani hayatauachia ng'oo!!
Haah mzee..... Sijasema Mimi kuwa ASUKA na Nakamura watashinda.... Mi nlikuwa najiamini na Brock Lesnar tu.... Nipe mzigo wangu banaWewe ulivyoahidi kwa dhati na kutoka moyoni kwa uma wa watanzania kuwa Asuka na Nakamura watashinda huo mzigo unampa nani mkuu???
Hahhaha...Noma sana,Haya kwa wapenz wa ASUKA.... Kwa mara ya kwanza kachezea kichapo
HahahhahahahahahahahhaMzee baba Umeanza kufeli..... ASUKA kashachezea..... Hapa naaza kumwamini mkuu aliesema Duniani Kuna watu wanajua kuongea.....
[emoji23] [emoji119] ...Mzee, wewe una kipaji cha utunzi.Sio kujua. Ila kutokana na trend za matukio ndio hata wewe unaweza kuotea nini kitatokea.
AJ atapigwa na Nakamura sababu kubwa ni kibiashara zaidi kama ambavyo walimpa mkanda MARAHAJA WAKIHINDO yule sababu wana fan base kubwa sana na india ina watu wengi na walivyomaliza safari za india wakampokonya mkanda. So now ni time ya Japan nako kuna watu wengi so interm of business itakuwa juu sana.
So.posibbility ya Asuka na Nakamura kushinda ni 95% kwa sababu niliyoainisha hapo juu.
Kwa lesnar na Big dog...sababu kubwa ambayo itamfanya lesnar ashindwe ni yeye kurudi UFC na kuwa Big Dog ni kipenzi mkubwa wa McMan mmiliki wa WWE.....so big dog ni 95% pia.
ALEXA ....ni 96% kushinda sababu yeye ana kipaji cha kuongea ( hii nayo ni sifa kubwa kuwepo wwe kama alivyokuwa ENZO) but kuna posibility ya kimodo kucash in kibrifcase kwa asuka vs qeen au kwa alexa vs nia jax maana wengi wana cash in kwa wreslemania)