Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

...
IMG_20180409_070918.jpg
 
[emoji123] [emoji123] [emoji123]
IMG_20180409_071044.jpg
 
Wale wauaji wamechukua mkanda ila USO nawasifu sana kwani wamejitahidi kidogo kuwapa kichapo compare to new day!.....USO na new day wasahau mkanda wa tag team kwa sababu haya mashetani hayatauachia ng'oo!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe ulivyoahidi kwa dhati na kutoka moyoni kwa uma wa watanzania kuwa Asuka na Nakamura watashinda huo mzigo unampa nani mkuu???
Haah mzee..... Sijasema Mimi kuwa ASUKA na Nakamura watashinda.... Mi nlikuwa najiamini na Brock Lesnar tu.... Nipe mzigo wangu bana
 
Ngoja nisubiri marudio na mimi nipate uhondo
 
Haya kwa wapenz wa ASUKA.... Kwa mara ya kwanza kachezea kichapo
Hahhaha...Noma sana,
Hadi Nakamura kapigwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] .Jana ilikuwa noma sana.


Afu unamkumbuka yule jamaa jana[emoji23] [emoji119] , na Hadithi zake za kutunga maneno kibao[emoji23].

Umeamini mkuu watu Duniani walivyo[emoji23]
 
Sio kujua. Ila kutokana na trend za matukio ndio hata wewe unaweza kuotea nini kitatokea.
AJ atapigwa na Nakamura sababu kubwa ni kibiashara zaidi kama ambavyo walimpa mkanda MARAHAJA WAKIHINDO yule sababu wana fan base kubwa sana na india ina watu wengi na walivyomaliza safari za india wakampokonya mkanda. So now ni time ya Japan nako kuna watu wengi so interm of business itakuwa juu sana.
So.posibbility ya Asuka na Nakamura kushinda ni 95% kwa sababu niliyoainisha hapo juu.
Kwa lesnar na Big dog...sababu kubwa ambayo itamfanya lesnar ashindwe ni yeye kurudi UFC na kuwa Big Dog ni kipenzi mkubwa wa McMan mmiliki wa WWE.....so big dog ni 95% pia.
ALEXA ....ni 96% kushinda sababu yeye ana kipaji cha kuongea ( hii nayo ni sifa kubwa kuwepo wwe kama alivyokuwa ENZO) but kuna posibility ya kimodo kucash in kibrifcase kwa asuka vs qeen au kwa alexa vs nia jax maana wengi wana cash in kwa wreslemania)
[emoji23] [emoji119] ...Mzee, wewe una kipaji cha utunzi.

Shikilia[emoji23]
 
Back
Top Bottom