Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
- Thread starter
-
- #861
Kwan WRESTLEMANIA ni baada ya kila muda gani?Maana undertaker ni babu saa hv hayuko physical fit. Ndo maana akaja siku ya mwisho kabisa. Maana mikiki ya kurushana kwenye meza haiwezi tena. Na sina uhakika kama utakuwepo next wreslemania. John mwenyewe soon anaishia kwenye movie mazima. Maana wwe yuko part time zaidi
Naona bob lash karudNaona Brock kasaini tena WWE na atapgana kwenye The greatest Royal rumble na Roman kwenye match ya steel cage
Ndo maana katika wote, John Cena anang'ang'ania tu The Deadman atokee wapigane, mbona hachagui wengine,Maana undertaker ni babu saa hv hayuko physical fit. Ndo maana akaja siku ya mwisho kabisa. Maana mikiki ya kurushana kwenye meza haiwezi tena. Na sina uhakika kama utakuwepo next wreslemania. John mwenyewe soon anaishia kwenye movie mazima. Maana wwe yuko part time zaidi
Wanarudia tenaGreat Royal rumble inakuja..... Utakuwa tar 24 Apr.... Itafanyika Saud Arabia.... Tutaona tena pambano la Brock Lesnar na big [emoji190]..... John Cena na undertaker..... Miz, rolling na Fin Ballor tena kukutana..... 50 Men royal rumble.... Hatari Sana
Wanarudia tena...... Saivi Roman reigns atapigwa paka achanganyikiwe..... Achana na ile Ya juzi kachafuliwa sura vibayaWanarudia tena
Hii HatariNi matumaini yangu wale wadau wetu wa wrestling bado tupo pamoja tukifuatilia nukta kwa nukta kinachoendelea kwenye Tasnia Ya wrestling.
natumai wote tulikuwa jicho kwa jicho kufatilia WWE WRESTLEMANIA 34 MATCHES iliyofanyika Jumspili 08 April 2018.
Kwa wale tuliobahatika kufatilia naamini tulipata burudani ya kutosha ingawa kuna baadhi tulisikitishwa baada ya wale tuliowatumainia kushinda then wakapokea kichapo.
Nikigusia gusia Kidogo yaliyotokea siku hiyo......
Kwa haraka haraka tuyachungulie kwa ufupi mapambano hayo :-
.
1.Universal champion
Brock Lesnar Vs Roman reigns
Lesnar alitoa kichapo cha mbwa mwiz kwa big dog, paka Leo reigns hana hamu ya kukutana na Lesnar.
2.WWE Championship
AJ Style Vs Shinsuke Nakamura
AJ Style alimkung'uta vibaya sana Nakamura na kufanikiwa kutetea mkanda wake.
3.Ronda Rousy &Kurt Vs Stephanie McMahon &Triple H.
Ronda rousy na Kurt angle walifanikiwa kuwachapa Triple H na mkewe Stephanie.
4.Smackdown Women Championship
Hapa tulishuhudia mwanadada ASUKA kwa mara ya kwanza akila kichapo.....
5.Intercontinental championship
Miz Vs Seth Rollins Vs Fin Ballor
Fin Ballor akifanikiwa kuwachakaza Miz na mwenzake
6.Raw Tag Team championship
Brown stromen kwa dharau akamtag dogo wa miaka 10 Ignas then walifanikiwa kuchukua mkanda huu dhidi Ya Shemus na cezoro.
7. Kelvin Owens na Sami Zeni Vs Daniel Bryan and
Kelvin Owens na Sami Zeni wakadundwa na hivyo kufukuzwa WWE.
8.Women's Championship
Nia jax Vs Alexa Bliss
Nia jax akamdunga mwanadada machachari Alexa
9.Smackdown Tag Team championship
The Usos Vs The new days Vs The bludgeon brothers
The bludgeon brother wakashinda hili taji
11. United state Championship
Randy Orton Vs Boby Roode Vs Jinder Mahal.
Jinder Mahal akashinda taji hili
Baada ya kusumirize hayo machache yaliyopita Sasa tuangalie nini kilichopo mbeleni....
Kwa Sasa tunasubiri kwa hamu lile tukio kubwa la Great Royal Rumble.
Hii itafanyika Katika mji wa Jeddah, Saud Arabia , King Abdalah International stadium.
Katika event hiyo tutashuhudia baadhi Ya mapambano kama....
1.50Man royal rumble match
2.Brock Lesnar Vs Roman reigns
3. Seth Rollins Vs Fin Ballor Vs Miz
4. Shemus na cezoro Vs Bray watt na Matt.
hardy
5.Bludgeon Brothers Vs Usos
6.John Cena Vs Triple H
7. Undertaker Vs Rusev
Haya sasa karibuni wadau tudiskasi hii event na Haya mapambano.
Hivi baada ya Ku cash in ile briefcase anabaki nayo Charlotte au inarudi WWEHakuna takataka ya kijinga SmackDown kama Pamela!...She is trash girl!
Why mzeeHakuna takataka ya kijinga SmackDown kama Pamela!...She is trash girl!
Yule hana lolote!....Anashangilia kwa nguvu zote kisa eti amechukua mkanda wa Charllote flair kwa kuvizia vizia bila hata kupigana nae!...ajiandae kuvunjwa miguu na Charllote flair!Why mzee
Sasa boss ile hela yangu vip!!!!! Au tusubiri marudiano kwenye greatest Royal rumble [emoji23][emoji23][emoji23]Yule hana lolote!....Anashangilia kwa nguvu zote kisa eti amechukua mkanda wa Charllote flair kwa kuvizia vizia bila hata kupigana nae!...ajiandae kuvunjwa miguu na Charllote flair!
bob lashley na john Morrison ndio wanaonifanya niicheki TNA mpaka sasa, sasa bob karudi, nasubiri morrison nae arudi WWENaona bob lash karud
TNA watakuwa wanalipwa PESA kidogobob lashley na john Morrison ndio wanaonifanya niicheki TNA mpaka sasa, sasa bob karudi, nasubiri morrison nae arudi WWE
Hivi kwann kila mtu asiwe na vijamaa vyake au kuna sheria inakataza... Mbona mahal ana vyake, miz anavyake.. Je kila mtu akitaka anakubaliwa
Intercontinental championship
Miz Vs Seth Rollins Vs Fin Ballor
Fin Ballor akifanikiwa kuwachakaza Miz na mwenzake
Ukweli mchungu ni kwamba soon mkanda wa universal champion utakuwa ni wa Roman reign parmanently as long as hakuna wa kumpiga the big dog ukimtoa Lesner ambae anahama WWE!
Kinachomkost jamaa hana pumzi, anachoka haraka...... Alaf hana finishing ya uhakikaMkuu Roman anapigika vizuri tu (japo na mimi ni shabiki wake lakini I admit). Mda mwingine huwa anapumbazwa, unakumbuka the miz alimpiga kupitia hadaa za vile vijamaa vyake? A few days after seth naye akampiga japo ile ilikuwa ni more technical. Usisahau samoe joe akikiwahi na ile crunch yake unasinzia bila kupenda.