Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Hiyo Worl Pro ndo siijuagi kabisa
 
Daaah huyu jamaa alistahili mkanda huu aisee...

Yaani linarusha tuwatu utafikiri anarusha vipepeo...!! Nusu ya watu wote kawatoa yeye pamoja na kunachangiwa na washindani wake bado kashinda...bhaneeee kuna miwatu inamiguvu aiseee..!!

Kongole Strowman
 
Me shabiki wa Roman ila Lesner ndio katangulia
 
Bronstronman kashinda royal ramble ya watu 50 ila bhana daniel brayn ni noma, ameingia wa kwanza katoka baada ya lisaa lizima na dakika kadhaa ametoka wa 48
 
Halafu hizi sheria zikoje guys...

Mbona kunakipindi strowman alitoka... kapumzika hukooo.. karudi tena uwanjani inakuwaje hapo
 
Kwa hiyo lesnar kaenda na mkanda wake? Mana sijaelewa apa kea sababu walikuwa wanashindania Universal champ’ rematch sasa kama kachezea kwa roman si manake roman kashinda? Na anatakiwa awe WWE universal champ. Inakueaje tena mnasena lesnar kauza mechi! Tuambieni mliotazama mech jaman. Mi ni team Rains [emoji23][emoji23][emoji23] the Big dog
 
Inshort lesnar kashinda according to refa but kiukwel roman kashinda ila marefa ndio waamuzi wa mwisho
 
Angalia haya youtube pia uone aseee..., Mbona mwingine ubishi..., Marefa sometimes mihemko nao inawasumbua..., Leo brock kachezea vitasa kinoma hahaha
Sheria inasema kuwa alietangulia kugusa aridhi kwa miguu yote miwili ndiye mshindi,Lesnar alitangulia ila akabakia kwenye ule wavu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…