Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Vipi ile ya kunyonga ya Samoe Joe?[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hivi Mitz ni mpiganaji au mchekeshaji ......maana c kwa vituko hivi........ Alafu ndo anatangaza kuchukua intercontinental toka kwa Roman Empire...... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi yule undertaker ana siri gani na jeneza lake? Manake kuna pambano moja nakumbuka alidumbukizwa mwenyewe kwenye jeneza lake alafu jamaa alipoenda kufungua hakumkuta zaidi ya kuona moshi tu kisha Undertaker anaonekana yupo ulingoni mpaka leo najiuliza alitokaje mule au ndo mauchawi
 
Undertaker jini lile.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…