Jay47
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 294
- 284
Mkuu hapa, unafel! Kwa hiyo miamba miwili, reign na lesnar strowman hafui dafu.......Mkuu strawmen ni noma yule nahisi akikutana na Roman atamchakaza, straw ni noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa, unafel! Kwa hiyo miamba miwili, reign na lesnar strowman hafui dafu.......Mkuu strawmen ni noma yule nahisi akikutana na Roman atamchakaza, straw ni noma
Sio 6 men elimination chamber kweli walikuwepo na kina cena, Roman akashinda!!??Hawezi kamwe kumchakaza Roman!....Unakumbuka kwenye ile mechi ya kumtafuta mtu wa kupigana na Lesnar katika kugombania mkanda wa universal champion alibaki Roman na stroman kwenye cage, stroman alikula spear moja mchezo ukaisha na Roman akawa ndiye ameshinda kuwa mtu wa kupigana na Lesnar!!
Tena mkuu, roman akimpa kile kipgo alichompa kwny greatest royal rumble, lesna sijui atamwambia kitu, reigns sio poa yule mnyamaKwa sasa pale WWE hakuna wa kumpiga Roman reign isipokuwa labda Lesnar tu!
Hahaha kwel mkuu sina nenoMkuu hapa, unafel! Kwa hiyo miamba miwili, reign na lesnar strowman hafui dafu.......
Jinder anayepigwa na Chad gable??Size ya roman kina jindre mahal maharajaa
Roman anapigwa na kina fin
Ujaona pambano la mwisho mkuu, maan sidhan kam ungeongea haya!!! Ingia youtubeHahaha reigns ampige lesner.tuwe siriaz.mapambano zaidi ya matano lesner kampiga roman na kwa kifupi mapambano waliokutana yote mnyama the beast kashinda.tuache mahaba roman hamwez brock lesner
[emoji23][emoji23][emoji23] umeamua kutuchekesha mkuuSize ya roman kina jindre mahal maharajaa
[emoji23][emoji23][emoji23]Jinder anayepigwa na Chad gable??
Nawashangaa wanamfananisha Lesnar na vitu vya ajabuajabu.....Huyo Reings alishapigwa hadi na Miz akanyanganywa Intercontinantal......Mpeni Lesnar heshma yake acheni kumkosea heshima kwa kumlinganisha na Reigns....Tumpe heshima yake brock lesner.huyu kiumbe apumzike kwa heshima
Brock Lesnar ni coward anakwepa kupigana mara kwa mara kisa anaogopa kunyang'anywa mkanda!...."i don't wanna be anything like brock lesnar,i wanna be a fighting champion"-Seth rollins......Hapa Seth rollins aliongea ukweli unaouma kwa mashabiki wote wa Lesnar!~(Nimetumia matamshi ya Seth rollins hapa kusupport kauli yangu kuwa brock lesnar ni coward!)Nawashangaa wanamfananisha Lesnar na vitu vya ajabuajabu.....Huyo Reings alishapigwa hadi na Miz akanyanganywa Intercontinantal......Mpeni Lesnar heshma yake acheni kumkosea heshima kwa kumlinganisha na Reigns....
nlijua tu lazma uje mkuu....Daah mashabiki wa Reings mnaumia.....ila jamaa anawadisapoint sana.....lait angekuwa ana uwezo kama stroman bas tusingekunywa maji.Brock Lesnar ni coward anakwepa kupigana mara kwa mara kisa anaogopa kunyang'anywa mkanda!...."i don't wanna be anything like brock lesnar,i wanna be a fighting champion"-Seth rollins......Hapa Seth rollins aliongea ukweli unaouma kwa mashabiki wote wa Lesnar!~(Nimetumia matamshi ya Seth rollins hapa kusupport kauli yangu kuwa brock lesnar ni coward!)
Strowman ana uwezo gani??!...kwenye pambano lile la kumtafuta mtu wa kupigana na lesnar kwenye universal championship alibakigi roman reign na strowman kwenye cage,strowman alichezea spear mbili akakaa chini na roman akapita kuwa mtu wa kupigana na lesnar!....Strowman hamuwezi roman hata kwa dawa!...kwa sasa hivi hakuna wa kumpiga roman reign pale WWE labda sana sana Lesnar anaweza kujaribu!!nlijua tu lazma uje mkuu....Daah mashabiki wa Reings mnaumia.....ila jamaa anawadisapoint sana.....lait angekuwa ana uwezo kama stroman bas tusingekunywa maji.