Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stroman anauwezo ukimlanganisha na reigns???? Mkuu kua seriaz[emoji23][emoji23]nlijua tu lazma uje mkuu....Daah mashabiki wa Reings mnaumia.....ila jamaa anawadisapoint sana.....lait angekuwa ana uwezo kama stroman bas tusingekunywa maji.
Mtake radhi Roman. Jinder hajui kitu yule.Size ya roman kina jindre mahal maharajaa
Hakuna wa kumpga reigns pale wwe!!!!!Mtake radhi Roman. Jinder hajui kitu yule.
Strowman ni noma asee...Reign anaweza chezea kipigo.Strowman ana uwezo gani??!...kwenye pambano lile la kumtafuta mtu wa kupigana na lesnar kwenye universal championship alibakigi roman reign na strowman kwenye cage,strowman alichezea spear mbili akakaa chini na roman akapita kuwa mtu wa kupigana na lesnar!....Strowman hamuwezi roman hata kwa dawa!...kwa sasa hivi hakuna wa kumpiga roman reign pale WWE labda sana sana Lesnar anaweza kujaribu!!
Mkuu stroman kashachafuliwa saaana na reigns!!!!!Strowman ni noma asee...Reign anaweza chezea kipigo.
Wapo wengi tu...Hakuna wa kumpga reigns pale wwe!!!!!
Bado namuamini Brown Strawnman, he can do something.Mkuu stroman kashachafuliwa saaana na reigns!!!!!
wee endelea kumwamni mkuu, ni sawaa kbas ila kusema kwmba atamshindaa reigns,,, iyo andika maumivuBado namuamini Brown Strawnman, he can do something.
Finishn yake tena ya kawaidaa saana!!!Lesnar huwaga anaboa kwenye mechi zake, maana game ikianza tuu anakimbilia kwenye Suplex city...
Hata lesnar bila fitna hampigi Roman, lesnar akipangiwa pambano lazima afanye fitna Mara atume watu wajifanye polisi wamfunge mpinzani pingu ndo apate nafasi ya kumdhoofisha kabla ya pambano, Mara avizie mwenzake anapambana na kachoka ndo anajitokeza kumdhoofisha kabla ya pambano, na uhakika reign akikaa mda mrefu akijifua bila mipambano ya Mara kwa Mara anampiga lesnar mapema mno.Strowman ana uwezo gani??!...kwenye pambano lile la kumtafuta mtu wa kupigana na lesnar kwenye universal championship alibakigi roman reign na strowman kwenye cage,strowman alichezea spear mbili akakaa chini na roman akapita kuwa mtu wa kupigana na lesnar!....Strowman hamuwezi roman hata kwa dawa!...kwa sasa hivi hakuna wa kumpiga roman reign pale WWE labda sana sana Lesnar anaweza kujaribu!!
Na wote wana tabia moja.Level ya lesnar ni kama Samoa Joe, Roman ni level ingine ile mzee
Lesnar ni coward huwa anakwepa kupigana mara kwa mara kisa anaogopa kunyang'anywa mkanda,mwenzake roman reign huwa anapigana deile!.....Lesnar is not a fighting champion!!....he is coward champion!!Hata lesnar bila fitna hampigi Roman, lesnar akipangiwa pambano lazima afanye fitna Mara atume watu wajifanye polisi wamfunge mpinzani pingu ndo apate nafasi ya kumdhoofisha kabla ya pambano, Mara avizie mwenzake anapambana na kachoka ndo anajitokeza kumdhoofisha kabla ya pambano, na uhakika reign akikaa mda mrefu akijifua bila mipambano ya Mara kwa Mara anampiga lesnar mapema mno.
Ulishuhudia mechi ya ambulance? Sidhani kama stroman ana hamu ya kupambana na reign tenaStrowman ni noma asee...Reign anaweza chezea kipigo.
Mkuu nimeelewa point yako, ni kweli kabsa, mapambano yote reign kapga na lesna, roman kafnyiwa fitina saana!, kachoshwa kwnza kabla ya pambana, afu jamaa haonekaniki sku nyingne zaidi ya pambano tu, reign kila wiki ana pambano!,, pia kam ulioona pambabo la mwish beast alivyochapwa kipgo cha mbwa koko, pia alifnyiwa fitina na yule paul heyman kumfungia cage......Hata lesnar bila fitna hampigi Roman, lesnar akipangiwa pambano lazima afanye fitna Mara atume watu wajifanye polisi wamfunge mpinzani pingu ndo apate nafasi ya kumdhoofisha kabla ya pambano, Mara avizie mwenzake anapambana na kachoka ndo anajitokeza kumdhoofisha kabla ya pambano, na uhakika reign akikaa mda mrefu akijifua bila mipambano ya Mara kwa Mara anampiga lesnar mapema mno.
Mkuu seth Rollins anajikubali aisee jamaa anautetea sana mkanda wake wa intercontinentalAnaejiamni na mkanda wake ni rollins,,, yy kila wiki anapambana, na hanyang'anywi!!! Ila beast ni mapambano makubwa tu,....
Muoga saaan yulee, hajiaminii kabsaa