Yaap, nakumbuka mara ya kwanza ""Alijidai kushindana kuitoa ile mikono"", but akashindwa...Ila Safari nyingine alijaribu akaona anaelekea kushindwa.undertaker ali freeze mkuu.....badae na yeye alikuja kuipangua ila mara ya kwanza alifreeze....nenda youtube utaona
Naikimbiza 25yrs, nilianza kufatilia nikiwa mdogo sanaMuhengaaa wewe
Utakua unafatilia mieleka kwa msimu ww sio mfatiliaji sana.pia ata huyo great khali nae ni wa juzi tu zamani wababe walikua wengi kina lex,sting,hogan,flair,shwan,goldberg,the rock na wengine...ina maana wakina asuka,nakamura,aj styles,seth,stroman wote huwajuiLabda kama ni wa juzi juzi, mana mi nmeanza kufatilia muda sana
Daah umenikumbusha mbali mkuu....zaman kulikuwa na wababe kweli...yaan mtu kama lex lugar, sting, holk hogan,triple h, shwan michle....kina boker t ndo walikuwa wanachpkia, kuna jamaa anaitwa DDP balaa sana miaka hiyo, kina golden berg, the rock, hawa kina cena, edge na randy ndo vilikuwa vidogo.....alaf kuna mbabe mmoja statenda haki nsipomtaja , mzee mzima big show.Utakua unafatilia mieleka kwa msimu ww sio mfatiliaji sana.pia ata huyo great khali nae ni wa juzi tu zamani wababe walikua wengi kina lex,sting,hogan,flair,shwan,goldberg,the rock na wengine...ina maana wakina asuka,nakamura,aj styles,seth,stroman wote huwajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawajui hata mm namshindaUtakua unafatilia mieleka kwa msimu ww sio mfatiliaji sana.pia ata huyo great khali nae ni wa juzi tu zamani wababe walikua wengi kina lex,sting,hogan,flair,shwan,goldberg,the rock na wengine...ina maana wakina asuka,nakamura,aj styles,seth,stroman wote huwajui
Big show na yule mweusi mnene yule mbabu na kale kafupi ka mbiliko kalikokuwa kanamsurportDaah umenikumbusha mbali mkuu....zaman kulikuwa na wababe kweli...yaan mtu kama lex lugar, sting, holk hogan,triple h, shwan michle....kina boker t ndo walikuwa wanachpkia, kuna jamaa anaitwa DDP balaa sana miaka hiyo, kina golden berg, the rock, hawa kina cena, edge na randy ndo vilikuwa vidogo.....alaf kuna mbabe mmoja statenda haki nsipomtaja , mzee mzima big show.
Mmmh cjui niseme nilikuwa sijazaliwa[emoji4] [emoji4] [emoji1]Utakua unafatilia mieleka kwa msimu ww sio mfatiliaji sana.pia ata huyo great khali nae ni wa juzi tu zamani wababe walikua wengi kina lex,sting,hogan,flair,shwan,goldberg,the rock na wengine...ina maana wakina asuka,nakamura,aj styles,seth,stroman wote huwajui
Kuna kale kajamaa kalikuwa kana penda kung'ata tako....sjui alikuwa anaitwa nan tenaBig show na yule mweusi mnene yule mbabu na kale kafupi ka mbiliko kalikokuwa kanamsurport
Wewe sijui umefufuka kutoka wapi!!.......unazungumzia watu ambao walishastaafu siku nyingi!!Unamjua great khali demiss? Mwanzo kabla sijamjua great nilikuwa namkubali cena,lakin badae nikaona cena bado uwezo wake mdog huwa anapigwa ovyo ovyo tu tofaut na great. Kumpiga great ni ishu nyngne asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbaliKuna kale kajamaa kalikuwa kana penda kung'ata tako....sjui alikuwa anaitwa nan tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka akiii ahhaha atakuwa anaangalia marudio ya enzi hizoWewe sijui umefufuka kutoka wapi!!.......unazungumzia watu ambao walishastaafu siku nyingi!!
Siku nyingi wap mkuu wakat ana clip za majuz tu hapo[emoji5] [emoji5]Wewe sijui umefufuka kutoka wapi!!.......unazungumzia watu ambao walishastaafu siku nyingi!!
Hapigwi sababu hajapigana na The super Man Brock LesnarSeth Rollins anajitahidi sana kila wiki kutoa challenge ya mkanda wake but bado hapigwi, na ile finishing yake ni balaaa
Nakuona shabiki no 1 wa lesnarHapigwi sababu hajapigana na The super Man Brock Lesnar
Shabiki namba 2 hapaNakuona shabiki no 1 wa lesnar
Team Lesnar vs Team RomanShabiki namba 2 hapa
Great khali aliwahi mminya big show kichwa hadi pua ikatoa damu, ile style yake ya kutwanga binadamu kwenye paa la kichwa ilikua hatari sana, alikua akiboa tu yeye akigongwa moja anaanguka kama gunia alafu kunyanyuka ni hadi winchi.Mi namkubali great khali,jamaa ana nguvu mpaka kero