Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

Wadau wa mchezo wa mieleka (wrestling)

biashara ni promotion.....Hata leo wakitangaza miz na lesnar....wakiamua kupromote mbona inabamba
Ni kweli lakini haiwezi kuwa sawa Kama ikikaa the Beast na Big Dog mana hata hapa nadhani waona mnavyobishana ni tofauti na akiwekwa mfano the Miz na Lesner mostly kila mtu atajua kitachotokea

Nimeona watu wengi wamezungumza kama mimi huko mitandaoni ya kuwa kibiashara inafaa iwe hivyo mana Big dog kajihakikishia mashabiki na huwa inavutia wakiingia wawili ulingoni
 
Reign is the best wrestler in the world kwa sasa.

Game ya Bobby Lashley alipigwa coz it was worth nothing for him.

Km ingekua wanafight for the title or to qualify for the summer slam, Bobby angechezea vitasa dunia hii hakuna
 
Reign is the best wrestler in the world kwa sasa.

Game ya Bobby Lashley alipigwa coz it was worth nothing for him.

Km ingekua wanafight for the title or to qualify for the summer slam, Bobby angechezea vitasa dunia hii hakuna
Comment hii akiiona Baba Mtakatifu atapata matonses
 
Reign is the best wrestler in the world kwa sasa.

Game ya Bobby Lashley alipigwa coz it was worth nothing for him.

Km ingekua wanafight for the title or to qualify for the summer slam, Bobby angechezea vitasa dunia hii hakuna
Poor Roman Reigns........Akipigwa mnatafuta sababu za kujipooza.....Njoo Kwa Lesnar every day is victory
 
Baba mtakatifu atapata taabu sana!
Taabu mnapata nyie mnolazimisha Lesnar aje kupigana wakati hajamaliza kula zake bata.....Kati mchizi wenu anakula kichapo kila day...

Mi nakula bata
We unakula kichapo

Hahaahh Lesnar bana [emoji23][emoji23]
 
Duuh...eti mijitu mizima inagombania kupigana na Brock Lesnar.......Hahah Lesnar anaona raha sana huko aliko
 
Dah huyo lashley kiwango chake kimeshuka san hata huko Impact alikuwa anapigwa kila siku na Alberto Der lio isitoshe kule impact kuna mwamba kamkimbia anaitwa Brian cage yaan cn waswas kabisa hata hyo extrme rules atakaa tu kwa roman reigns
Kuna mtu anaitwa Moose ww, sijui kwanini haend wwe
 
Hata huyu Cien wadau wanatabiri ana great future, aliwapa mashabiki pambano zuri sana. Ana talent
Alivyompiga AJ styles ile finishing mimi nilifikiri amemmaliza ila nilishangaa sana AJ styles kujigusa wakati refa anapiga yale makofi chini!!
 
Nilipractice RKO mpka nikaiweza, ila ni kwenye swimming pool maana kwenye floor nahis kama ntavunja mgongo
 
Back
Top Bottom