Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Haha. Lesner aliponea chupu chupu kwenye Royal Rumble. Kwenye summer slam, Reign anabeba what is legitimate hisRoman reign ni hatari sana,amepigwa spear ya hatari akasurvive lakini alivyokuja kumpiga Leshley spear ya kawaida Leshley ameshindwa kusurvive!!....Nasema ni spear ya kawauda kwa sababu Roman reign alisukumwa tu na kama za ulingo akatumia nafasi hiyo kudeliver spear iliyompa ushindi!!....Hakika Brock Lesnar hana chake tena!!
Yeah, spear ya Bobby Lashley alijiandaa kabisa, aka sprint to the highest ila mwamba akaitoa.Halafu spear ya Leshley ilikuwa ni ya nguvu sana compare na ya Roman reign ambayo reign alisukumwa tu na kamba za ulingo na akutumia nafasi hiyo kudeliver spear!!
Hapa mchawi ni monster in the bank. Atasubiri wachapane alafu aje a cash inYes![emoji123][emoji123][emoji123]View attachment 817028
Mkuu kama umemsikiliza Kalven Owens leo kuna uwezekano mkubwa akamfanyia figisufigisu monster among the men siku ya summerslam ili ashindwe kucash inn kutokana na bifu lao lile la Kalven Owens kurushwa kutoja juu futi 20 na monster na kuumia lakini hata hivyo Monster among the men ni mzito sana akila spear moja tu itamtosha kabisa kwa siku hiyo kushindwa kuchukua mkanda kupitia cash inn!!Hapa mchawi ni monster in the bank. Atasubiri wachapane alafu aje a cash in
And finally my dreamz come trueNatabiri tena on Summer Slam main Event ni The beast vs The Big Dog
Iko hivi, K.O kaomba rematch on Summer Slam vs Braun na kama akishinda, taji la MITB briefcase linaenda kwake iwe kwa PINFALL, SUBMISSION au DISQUALIFICATION na Stephanie kaipitisha hiyo match..Mkuu kama umemsikiliza Kalven Owens leo kuna uwezekano mkubwa akamfanyia figisufigisu monster among the men siku ya summerslam ili ashindwe kucash inn kutokana na bifu lao lile la Kalven Owens kurushwa kutoja juu futi 20 na monster na kuumia lakini hata hivyo Monster among the men ni mzito sana akila spear moja tu itamtosha kabisa kwa siku hiyo kushindwa kuchukua mkanda kupitia cash inn!!
[emoji23][emoji23][emoji23]And finally my dreamz come true
Kwa hiyo KO akiwa mshindi anaweza kucash inn siku hiyohiyo?Iko hivi, K.O kaomba rematch on Summer Slam vs Braun na kama akishinda, taji la MITB briefcase linaenda kwake iwe kwa PINFALL, SUBMISSION au DISQUALIFICATION na Stephanie kaipitisha hiyo match..
NB: kuna uwezekano mkubwa kati ya Sami Zayn,Jinder Mahal au Baron Cobin kuja kuinterupt hiyo match ili KO awe mshindi.
Yap! Ataweza kucash IN kwa kuwa match yao itakuwa mwanzoni na game ya Lesnar na Reigns ni main Event..Kwa hiyo KO akiwa mshindi atacash inn siku hiyohiyo?
Teh....ndo Leanar unategemea umpige kirahis hivyo.Kwa ambao bado hawajaiona spear ya ushindi wa leo hii hapa![emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 817587Spear ya kwanza ilifeli kwa kupigwa teke lililompeleka huyu champion kwenye kamba then akatumia hizo kamba kugain momentum ya kudeliver deadly spear!!...what a champion!![emoji23]....hii video najikuta naiangalia mara mia mia bila kutosheka!![emoji23]
Lesnar anaweza akapigwa na Strawnman, Strawnman akikaza.Teh....ndo Leanar unategemea umpige kirahis hivyo.
Strawmen akijikaza anaweza sababu ana mi nguvu....ila c huyu mrembo ReignsLesnar anaweza akapigwa na Strawnman, Strawnman akikaza.
Huyu unaemuita mrembo atakapowapiga kwa mpigo Lesnar pamoja na atakaecash inn nakushauri ujitoe kwenye huu uzi mkuu kwa sababu utapata taabu sana!Strawmen akijikaza anaweza sababu ana mi nguvu....ila c huyu mrembo Reigns
Si umeona Owen kapewa offer na yule mtoto wa bosi kwamba akimpiga monster basi atachukua yeye brifcase. So kwa jinsi nilivyoona huyu Owen atapewa ushindi kiutani atashinda ile brifcase na yeye ndio atacash in atakuwa bingwa.Huyu unaemuita mrembo atakapowapiga kwa mpigo Lesnar pamoja na atakaecash inn nakushauri ujitoe kwenye huu uzi mkuu kwa sababu utapata taabu sana!
Lesnar mwenyewe anaenda ufc now. So lazima summer slam apigwe ili aache mkanda.Lesnar anaweza akapigwa na Strawnman, Strawnman akikaza.
KO akicash inn akipewa Superman punch moja na Roman reign wala hanyanyuki tena!Si umeona Owen kapewa offer na yule mtoto wa bosi kwamba akimpiga monster basi atachukua yeye brifcase. So kwa jinsi nilivyoona huyu Owen atapewa ushindi kiutani atashinda ile brifcase na yeye ndio atacash in atakuwa bingwa.
Hvi jamani yaani upigwe na bega ushindwe kuamka.??? Bora spears za goldberg alikiwa anakulenga kichwa tumboni kabisa.Kwa ambao bado hawajaiona spear ya ushindi wa leo hii hapa![emoji116][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 817587Spear ya kwanza ilifeli kwa kupigwa teke lililompeleka huyu champion kwenye kamba then akatumia hizo kamba kugain momentum ya kudeliver deadly spear!!...what a champion!![emoji23]....hii video najikuta naiangalia mara mia mia bila kutosheka!![emoji23]