Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Wala hajapigwa na the Miz bali ni vile vijamaa vya the miz vimechangia!....Wakienda one to one na the miz wala dakika kumi haziishi bila the Miz kupigwa!!.....Hata hivyo nakuambia the Miz hatakaa na huo mkanda ndani ya wiki mbili bila kunyang'anywa na Reign na pia vile vijamaa vijiandae kwa kipigo cha mbwa mwitu!!Hayawi hayawi hstimae yakawa..... Wako wapi wale waliosema Mitz hampigi Roman Reign......
Upiganajiii wake huyu jamaa huwa unaniachaa hoiii ila kajitahidiii make kakaa mda mrefu kwenye ringiii
Jamaa Ni tactical Sana ametumia dk 100Upiganajiii wake huyu jamaa huwa unaniachaa hoiii ila kajitahidiii make kakaa mda mrefu kwenye ringiii
2018 royal ramble winner japo sikutegemea kama atatusuaa
The miz hamuwezii roman hata robo ila roman anaumwa mkono ..ndo maana performance iko chini kidogoWala hajapigwa na the Miz bali ni vile vijamaa vya the miz vimechangia!....Wakienda one to one na the miz wala dakika kumi haziishi bila the Miz kupigwa!!.....Hata hivyo nakuambia the Miz hatakaa na huo mkanda ndani ya wiki mbili bila kunyang'anywa na Reign na pia vile vijamaa vijiandae kwa kipigo cha mbwa mwitu!!
Nakamura nilivoona kamtoa cena nilijua lazima ashinde make roman alimshindwa mapema huyu mjapaniJamaa Ni tactical Sana ametumia dk 100
Hamna kitu kwanza hata angelibakii na ray jamaa angelipigwaaa...The miz hamuwezii roman hata robo ila roman anaumwa mkono ..ndo maana performance iko chini kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] akipandishagaa mashetani yake umeliwaaaDaah Nakamura kanifurshisha sana....
Roman Reign alichangiwa na watu watatu,hakuwa Miz peke yake!!Sasa kama Mitz hamwez Roman Reign.... Mbona kampiga na mkanda kamnyang'anya...... Au tunatumia kipimo gani kujua huyu hamwez huyu
Wale jamaa wawili waoga hata mi nawavunjaRoman Reign alichangiwa na watu watatu,hakuwa Miz peke yake!!
ni waoga ila huwa wanaplay crucial role katika Roman kupigwa!!....Wakati Roman akiwa anajaribu kupambana nao then the Miz huwa anatake opportunity!!....Kwa kifupi huwa wanamdistract Roman na kumuondoa kwenye mipango thabiti ya kumpiga Miz!Wale jamaa wawili waoga hata mi nawavunja