joshuan
Senior Member
- Jan 22, 2017
- 159
- 135
Mkuu uko ufc na mmi napakubali kwelihii PG Era hapana kwangu aisee , nimemis the Golden era.. enzi za wakali akina DX, Steve Austine , the rock, Undertaker , na wakali wengine .. sasa ivi WWE hamna kitu .. sasa ivi nimehamia UFC ... HUKU NDO SHUGHULI Ipo. Hii PG ya watoto
Kina jone bones, commier, mgregor wanatsha ila kinacho nichanganya mechi zao wanazpangaje mfano cjawai ona mechi ya magrega na jones japo wote light weight