Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Anhaa kwaiyo ataondoka mikono mitupuMkanda ni mali ya WWE, ndo maana hata nyumbani hawaendagi nayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa kwaiyo ataondoka mikono mitupuMkanda ni mali ya WWE, ndo maana hata nyumbani hawaendagi nayo
Sina hofu na AJ Styles mapema sana atatetea mkanda wakeBattle ya samoe joe na aj style ni kama yote
kama kawaSummerslam ... mida ya undertake kurudi.. sijui kama this year atarud lakin
Hakuna chuma kigumu kama AJ styles halafu cha kushangaza ana miaka 41!Aj uhakika
Unazn AJ ana weza simama mbele ya Lesnar na akshinda!???Hakuna chuma kigumu kama AJ styles halafu cha kushangaza ana miaka 41!
Sijui ila mimi nazungumzia pale Smackdown!Unazn AJ ana weza simama mbele ya Lesnar na akshinda!???
Smackdown wana weak Roster yaan hawana wababe...Sijui ila mimi nazungumzia pale Smackdown!
ila wana tag team kali sana kuliko raw!Smackdown wana weak Roster yaan hawana wababe...
Tag te divison kweli wako poa.. Elias, seth, drew, na dean (akitoka injury) wanatakiwa wawe drafted to smackdown kupa changamsha.. Kidogoila wana tag team kali sana kuliko raw!
I love rand and jeff bt wamesha zeeka.. Fam mpya inatakiwa...Tag te divison kweli wako poa.. Elias, seth, drew, na dean (akitoka injury) wanatakiwa wawe drafted to smackdown kupa changamsha.. Kidogo
Jeff bado yupo fiti sana!!...Pale smackdown ana uwezo wa kuwapiga wote isipokuwa AJ styles!!....Nakamura na the viper tayari wameshapata kipigo cha mbwa koko kutoka kwa jeff hardy sasa hivi wanachofanya ni kumchangia Jeff!!I love rand and jeff bt wamesha zeeka.. Fam mpya inatakiwa...
Acha kumfananisha Lesnar na vitu vya ajabuUnazn AJ ana weza simama mbele ya Lesnar na akshinda!???
Kama unaamini AJ styles ni kitu cha ajabu na heshima yote aliyonayo ni vyema ukaenda kwa mganga wa kienyeji akakupime umelogwa na nani!Acha kumfananisha Lesnar na vitu vya ajabu
Samoe Joe hapigwi na AJ StylesSina hofu na AJ Styles mapema sana atatetea mkanda wake
Aj uhakika
Hana pumzi ya kumpiga Samoa JoeHakuna chuma kigumu kama AJ styles halafu cha kushangaza ana miaka 41!
Aj atapigwa mapema sana...hhahaSina hofu na AJ Styles mapema sana atatetea mkanda wake
Wanapigana mwezi huu tarehe 19 kwenye Summerslam, utaona jinsi Samoa Joe atakavyopigwa kipigo cha mbwa koko ndipo utajua kuwa issue ya AJ styles kuwa ni chuma cha pua ni ya ukweli mtupu!!Hana pumzi ya kumpiga Samoa Joe