Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Bora umpe ukweli wake yani sikuwahi kufikiri huyu baba km ana akili za ajabu!! Hivi ni kweli lecturer??
 
Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.
Umesema kweli huyo ni mtu mzima nashangaa anavyojifanya naye teenager!! Mbona kina Gramhs hawana pigo hizo? Hebu ajifunze kwao basi.

Yeye ndio mdhamini na kuna sehemu anahamasisha. Sijui anatafuta nini haswaah??
 
Sio tyuuh mtu mzima, yeye sio wa kuwa kwenye drama na njegeka hata km ingekua inamuhusu, yeye anapiga kimyaa tyuuh. Ndo uanaume huu.

Sifichi wala sio mnafiki, mzee wa miongozo anaponikuna ni kwenye kukaa kimyaa, yaan masuria yake yatavaragana wee, yeye yuko buzzy na mambo yake, huyu ndo mwanaume na anajua maana ya mwanaume.

Sasa mwanaume kutwaa kuranda kuchambana na kuchachuana na wadada, km sio kidampaa bas msagooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…