Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Wadau wa Mitindo: Umevaa Kiatu gani Leo?

Screenshot_20240629_202817.jpg
 
Heshima uliyokua nayo selfika, itunze sanaa, afuu wee ni mwanaumee rijaliii, unless uwe umesaliti kambii, sina hakika.

Kila cku huwa nasema, maneno na udaku ni kwa wadada na vidampaaa, mwanaume kamili inaongea pochi, vipira na pump.

Ilinde heshima hiyoo,
Bora umpe ukweli wake yani sikuwahi kufikiri huyu baba km ana akili za ajabu!! Hivi ni kweli lecturer??
 
Jana baada ya kuniuliza, kuna mtu alinifata PM kuniuliza kwan huyu lekcharaa nae alikua anadhamini ule ugomvi, nkamjibu hapana sina hakika na mbona huwa hana tyme hiyo.

Akasema sasa mbona kauliza kwa kejeli kuwa wee hujapigwa ban, means walipanga na wee upewe, nkasema sijui.

Leo kauliza tena hapa, ndo maana nimemchanaa makavu yake, hawaoni kina sumbai, grahams, Eroni, etc hawa ndo kapu lake yeye.

Nashangaaa kukengeuka hivyoo, khaaaaah
Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.
Umesema kweli huyo ni mtu mzima nashangaa anavyojifanya naye teenager!! Mbona kina Gramhs hawana pigo hizo? Hebu ajifunze kwao basi.

Yeye ndio mdhamini na kuna sehemu anahamasisha. Sijui anatafuta nini haswaah??
 
Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.
Umesema kweli huyo ni mtu mzima nashangaa anavyojifanya naye teenager!! Mbona kina Gramhs hawana pigo hizo? Hebu ajifunze kwao basi.

Yeye ndio mdhamini na kuna sehemu anahamasisha. Sijui anatafuta nini haswaah??
Sio tyuuh mtu mzima, yeye sio wa kuwa kwenye drama na njegeka hata km ingekua inamuhusu, yeye anapiga kimyaa tyuuh. Ndo uanaume huu.

Sifichi wala sio mnafiki, mzee wa miongozo anaponikuna ni kwenye kukaa kimyaa, yaan masuria yake yatavaragana wee, yeye yuko buzzy na mambo yake, huyu ndo mwanaume na anajua maana ya mwanaume.

Sasa mwanaume kutwaa kuranda kuchambana na kuchachuana na wadada, km sio kidampaa bas msagooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom