cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji91][emoji91][emoji91]For the Love of Samba[emoji8]
LV yako iko [emoji91][emoji91][emoji91]
Unataka kuona niniNi [emoji91][emoji91][emoji91]
Em pandisha juu zaidi.
Juu pandishaa, nachotaka kuona c nakijua mie bhana.Unataka kuona nini
Juu pandishaa, nachotaka kuona c nakijua mie bhana.
Hizi ni stress, u dont even know what ur talking about!Ila ww mtu mzima kisheti unateseka sijapata kuona!! Hivi Locawear ulimpa zile namba alizoomba??
Umekaa chini umelewa mipombe yako ukaanza kuedit watu lol.!!
Heshima uliyokua nayo selfika, itunze sanaa, afuu wee ni mwanaumee rijaliii, unless uwe umesaliti kambii, sina hakika.Ahaaa sipo huko kabisa student[emoji6]
Acha utoto wewe unatakiwa ukae ulee watoto na wajukuu MxieeeewwHizi ni stress, u dont even know what ur talking about!
Bora umpe ukweli wake yani sikuwahi kufikiri huyu baba km ana akili za ajabu!! Hivi ni kweli lecturer??Heshima uliyokua nayo selfika, itunze sanaa, afuu wee ni mwanaumee rijaliii, unless uwe umesaliti kambii, sina hakika.
Kila cku huwa nasema, maneno na udaku ni kwa wadada na vidampaaa, mwanaume kamili inaongea pochi, vipira na pump.
Ilinde heshima hiyoo,
Woyoooooooo!!!! Ukikaa na mchumba ako muambie hivi.
Saad umewaka best 😍😍 Timberland kali, beli kali & black jeans kali
Shukran mkuu.Saad umewaka best 😍😍 Timberland kali, beli kali & black jeans kali
Umejua kujipangilia
Uzuri wife anajua hilo tukiwa out na yupo makini na macho yangu yanaamgalia wapi hahahahahaha.Woyoooooooo!!!! Ukikaa na mchumba ako muambie hivi.
"Babee popotee unapokuwa ringa na tambaa uko na jamaa mkareee"
[emoji91][emoji91][emoji91]
Wife wako anafauduuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wife anajua hilo tukiwa out na yupo makini na macho yangu yanaamgalia wapi hahahahahaha.
Damu ya Nguo.
Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.Jana baada ya kuniuliza, kuna mtu alinifata PM kuniuliza kwan huyu lekcharaa nae alikua anadhamini ule ugomvi, nkamjibu hapana sina hakika na mbona huwa hana tyme hiyo.
Akasema sasa mbona kauliza kwa kejeli kuwa wee hujapigwa ban, means walipanga na wee upewe, nkasema sijui.
Leo kauliza tena hapa, ndo maana nimemchanaa makavu yake, hawaoni kina sumbai, grahams, Eroni, etc hawa ndo kapu lake yeye.
Nashangaaa kukengeuka hivyoo, khaaaaah
Sio tyuuh mtu mzima, yeye sio wa kuwa kwenye drama na njegeka hata km ingekua inamuhusu, yeye anapiga kimyaa tyuuh. Ndo uanaume huu.Yaani sikumtegemea kabisaa.!! Tatizo kasahau hao anaowatuma wanavujisha siri.
Umesema kweli huyo ni mtu mzima nashangaa anavyojifanya naye teenager!! Mbona kina Gramhs hawana pigo hizo? Hebu ajifunze kwao basi.
Yeye ndio mdhamini na kuna sehemu anahamasisha. Sijui anatafuta nini haswaah??