Wadau wa Muziki Nigeria wamponda Diamond Platnumz kwa kuiba nyimbo zao

Wadau wa Muziki Nigeria wamponda Diamond Platnumz kwa kuiba nyimbo zao

Diamond aliiba mashairi ya Alikiba, aliyoimba kwenye ushiriki wa wimbo wa Diamond mwenyewe, akamtoa Alikiba na kuimba yeye mashairi.

Na akaiba idea ya H Baba akaenda kurekodi wimbo wa Nataka Kulewa, wakati huo akiwa nchini ya usimamizi wa Racque ambaye kwa sasa ni mpiga picha wa Rais wa Zanzibar.

Kama vile hiyo haitoshi, akaiba wimbo wa Naumia wa Dayna Nyange aliomsikilizisha ili afanye naye collabo, lakini akaiba midundo na melody kisha akaenda kurekodi wimbo wa Number One.

Ova
 
Diamond aliiba mashairi ya Alikiba, aliyoimba kwenye ushiriki wa wimbo wa Diamond mwenyewe, akamtoa Alikiba na kuimba yeye mashairi.

Na akaiba idea ya H Baba akaenda kurekodi wimbo wa Nataka Kulewa, wakati huo akiwa nchini ya usimamizi wa Racque ambaye kwa sasa ni mpiga picha wa Rais wa Zanzibar.

Kama vile hiyo haitoshi, akaiba wimbo wa Naumia wa Dayna Nyange aliomsikilizisha ili afanye naye collabo, lakini akaiba midundo na melody kisha akaenda kurekodi wimbo wa Number One.

Ova
Ni mwizi sawa, sema akikuibia kitu anakifanya vizuri mara 100 zaidi yako hadi we mwenyewe unabaki kufurahia utamu
 
Wanaijeria wameshajua jamaa ndiyo mshindi wa bet kwahiyo wameanza kumsagia kunguni mapema baada ya kuwagalagaza wasanii wao
 
Unajua hii kuigaiga ma miziki ya naija mara ama piano tunajichoresha tu...kuna kipindi davido alipokuja hapa alisikia nyimbo ya kachiri ya njenje kuna vionjo akaiba akaweka kwenye nyimbo yake tuna vionjo vingi vya kwetu basi tu
Ila jamaa ajingalie sana sijui ndo ile principle ya kila kiendacho juu kitarudi chini?

Laana ya Mzee Abdul
 
ni mwizi sawa, sema akikuibia kitu anakifanya vizuri mara 100 zaidi yako hadi we mwenyewe unabaki kufurahia utamu
Huwa hakuna mwizi mwema. Mwizi ni kiumbe kisichofaa kwenye jamii.

Ova
 
Kwa wale mliiona ile post ya Diamond kipande cha wimbo wake mpya na Wizkid akapost emoji ya kucheka mkae mkijua tu huko Nigeria jamaa washamchukulia ni kilaza anayegeza hits za huko na ku twist kidogo kisha kuwaletea Watanzania
Huo wimbo wake mpya unaofanana na Essence ya Wiz unaitwaje?!
 
Huyo unaesema ni baba ake OG ulimshikia miguu akojoe ndani ndio ukawa shahidi?
Mama mwenye mtoto ametamka kwenye Media hadharani kuwa Diamond baba yake ni Nyange, sasa wewe unambishia ulibeba wewe Mimba? Ahahahahaha
 
wanaijeria wameshajua jamaa ndiyo mshindi wa bet kwahiyo wameanza kumsagia kunguni mapema baada ya kuwagalagaza wasanii wao
Akishinda nitakunya mafunfu madogo madogo kuroka Airport Hadi kitundashule
 
Diamond ni mtu mwenye bahati sana na anajua sana kuitumia; lakini ana tatizo kubwa sana la kukosa ubunifu na nadhani hilo linakuwa linaathiri hesima yake kimataifa. Ule wimbo wa My number one, ambao ndio uliomtoa kimataifa, maudhui ya video yake ilikuwa ni kopi ya Beautiful Onyine, halafu Davido alipoifanyia remix, akabadaili kabisa radha kuwa wimbo wa kinigeria, ndipo ukatoboa. Sasa hiyo connection ya Nigeria nadhani ndiyo inayomtuma kuwa anasample kutoka huko, ila sasa baada ya kuwa ameshajioimarisha, alitakiwa awe na originality. Katika kila nyimbo kumi za Diamond, nane zinatumia ama rhythm ya kukopi kwa wengine, au zinatumia video ambazo maudhui yamekopiwa kwa wasanii wengine. Siyo jambo zuri.

Halafu pia ameshindwa kujiimarisha kwa kuwa independent, imekuwa kwamba kila akitaka kutoa wimbo lazima amtafute mtu wa kumsaidia (collabo), wimbo anaotoa peke yake huwa hauendi popote. Kwa hiyo anakuwa anagawana credit na wengine kwa kila wimbo.
 
Back
Top Bottom