Wadau wa uchumi inakuwaje mkoa wa Kilimanjaro unachangia pakubwa kwenye uchumi wa Tanzania kuzidi mkoa wa Geita?

Wadau wa uchumi inakuwaje mkoa wa Kilimanjaro unachangia pakubwa kwenye uchumi wa Tanzania kuzidi mkoa wa Geita?

NAFIKIRE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
660
Reaction score
456
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa Rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
 
Yale madini ya Geita yanaenda yuesei hapa mbabaki na michanga tu na wachimbaji wadogowadogo.

Pia wafanyakazi wale professional wa migodini asilimia kubwa ni wageni, wanawekeza makwao

Geita kuna uchawi sana, uchawi na maendeleo havikai pamoja
 
Mkuu mikoa kama Mwanza, na Mbeya ndiyo inachangia pakubwa kwenye ukuaji wa uchumi shida yake ni kuwa bidhaa zake kama mazao ya kilimo, ufugaji na uvuvi pamoja na madini hayakatwi Kodi na TRA kwa maana hiyo mikoa hii inaonekana inachangia padogo kiuchumi lakini kiuhalisia mikoa ya Mwanza na Mbeya Ina mchango mkubwa kiuchumi pengine kuliko mikoa mingine yote isipokuwa labda Dar es Salaam. Mikoa ya kama Dar es Salaam imejaa wachuuzi na hao ndiyo wadau wa TRA lakini Mwanza na Mbeya pamoja na Geita kumejaa wazalishaji. Akili kichwani...
 
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
Sina hakika ngoja nirejee kwenye GDP maana ndio Kipimo sahihi na sio makusanyo ya TRA Kwa sababu hapa Tanzania Fedha hukusanywa na taasisi mbalimbali.

Hata hivyo tuzo imetolewa kwa.mikoa iliyofanya vizuri kwenye majadiliano 👇👇

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1817909202104328266?t=ilYToWDjavVDgoB34BVz7A&s=19
 
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
Utalii ndio unaingiza mapato mengi zaidi nchi hii, Kila mwaka kuna watalii zaidi ya 30,000 wanaotembelea mlima Kilimanjaro.
 
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
Watumishi wa Umma wengi ni incompetent sana kama alivyosema CAG Assad takribani 75% hawajielewi.

Mchango wa Mkoa kwenye Uchumi wa Nchi unapimwa Kwa GDP na sio makusanyo ya Fedha zinazotokana na TRA.

Sasa wao walitakiwa waipongeze hiyo Mikoa Kwa kuchangia Mapato mengi ya TRA badala ya kusema eti inachangia sana Uchumi, huo ni uongo na kutojielewa wanachosema unless waseme wazi ni nini hasa walichokuwa wanamaanisha.

Kwa minajiri ya Ukubwa wa Uchumi wa Mikoa GDP, Geita imeizidi Kilimanjaro.

GDP ya Geita (2022) ni 7.7Trilioni vs Kilimanjaro 7.5Trilion

The Top 3 heavy weights ni Dar, Mwanza na Mbeya
Screenshot_20240730-094843.jpg
 
Mkuu mikoa kama Mwanza, na Mbeya ndiyo inachangia pakubwa kwenye ukuaji wa uchumi shida yake ni kuwa bidhaa zake kama mazao ya kilimo, ufugaji na uvuvi pamoja na madini hayakatwi Kodi na TRA kwa maana hiyo mikoa hii inaonekana inachangia padogo kiuchumi lakini kiuhalisia mikoa ya Mwanza na Mbeya Ina mchango mkubwa kiuchumi pengine kuliko mikoa mingine yote isipokuwa labda Dar es salaam. Mikoa ya kama Dar es salaam imejaa wachuuzi na hao ndiyo wadau wa TRA lakini mwanza na Mbeya pamoja na Geita kumejaa wazalishaji. Akili kichwani...
Ndio maana nasema je hao waliotoa tuzo wanaelewa walichomuandikia Rais au ndio Ile ya Assad kwamba 75% ya Watumishi wa Umma ni vilaza?
 
Utalii ndio unaingiza mapato mengi zaidi nchi hii, Kila mwaka kuna watalii zaidi ya 30,000 wanaotembelea mlima Kilimanjaro.
Mapato ni sehemu ndogo tuu ya Uchumi,by the way wanachouza pale ni Huduma za Utalii ambazo zinapimwa Kwa Fedha kama ambavyo waliozalisha mazao ya Kilimo wanaweza kuwa converted Kwa fedha.

Sio sahihi kabisa kusema eti hiyo Mikoa inachangia sana Uchumi wa Nchi,huo ni uongo,kilichotolewa tuzo ni majadiliano 👇

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1817909202104328266?t=ilYToWDjavVDgoB34BVz7A&s=19
 
Kilimanjaro imeizidi Geita kwamaana no modernized almost mkoa wote so. Mzunguko wa pesa ni mkubwa sana kuzidi Geita (mzunguko wa pesa ukiwa mkubwa hata kodi inakusanywa kubwa). Geita ni kamji kadogo sana asee hakuna biashara yakueleweka labda hapo Katoro kidogo ila Geita mjini ndio hewa kabisa.

Zaidi ya wachimbaji wadogo na mgodi mmoja mkubwa mapato hapo hayawezi kuifikia Kilimanjaro inayobebwa pia na sekta ya utalii.
 
Kilimanjaro imeizidi Geita kwamaana no modernized almost mkoa wote so. Mzunguko wa pesa ni mkubwa sana kuzidi Geita (mzunguko wa pesa ukiwa mkubwa hata kodi inakusanywa kubwa). Geita ni kamji kadogo sana asee hakuna biashara yakueleweka labda hapo Katoro kidogo ila Geita mjini ndio hewa kabisa.

Zaidi ya wachimbaji wadogo na mgodi mmoja mkubwa mapato hapo hayawezi kuifikia Kilimanjaro inayobebwa pia na sekta ya utalii.
Tuzo ni ya majadiliano na sio nani anachangia zaidi uchumi

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1817909202104328266?t=ilYToWDjavVDgoB34BVz7A&s=19
 
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
Ni kwa sababu ya stupidity policy kwenye resources zetu, wamekufa akina Mkapa, Bomani, akina chenge wanachechemea kama gari bovu, mikataba mibovu na 10% ndo imesababisha Geita pamoja na kuwa kwenye na madini mengi lakini wazungu wanasomba yote.
 
Wasalaam ndugu zangu,

Kwanza nianze na pongezi kwa mikoa ya Dar-es Salaam, Dodoma, na Kilimanjaro kupongezwa na Mheshimiwa rais Jana kwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwenye uchumi wa nchi yetu.

Ndugu zangu kilichonishangaza kwenye pongezi hizo ni kujitokeza kwa mkoa wa Kilimanjaro na kuacha nyuma mkoa wenye dhahabu Geita, na mikoa mingine Kama Mwanza, Arusha, Mbeya na Ruvuma?

Ndugu zangu wataalam wa uchumi ningefurahi kujua ni vigezo gani au ni sababu gani zinazofanya mkoa wa Kilimanjaro kuchangia pakubwa na kushinda mikoa Kama Geita, Mwanza, Mbeya, Arusha na Ruvuma.
Mkuu kuna kugenerate Pato na kuna kodi hivi ni vitu viwili tofauti. Sina hizo data mpya ila za mwaka Jana Geita Wali generate pato kubwa kushinda Kilimanjaro, ila kwenye Kodi Kilimanjaro ilichangia zaidi

Source


Kama wadau wengine walivyosema Utalii hauna mzunguko mkubwa kama Madini ila faida ni kubwa sana, Hutumii hela nyingi kutengeneza utalii ila unakuta madini Yakauzwa Mamia ya Mabilioni ila kwa serikali ikaenda 10%.
 
Ndio maana nasema je hao waliotoa tuzo wanaelewa walichomuandikia Rais au ndio Ile ya Assad kwamba 75% ya Watumishi wa Umma ni vilaza?
Mkuu nafikiri Kunapaswa kuwe kunatolewa elimu namna ya kuwasilisha taarifa za kiuchumi kwa wananchi... Kusema mkoa A uko vizuri zaidi kuliko mikoa B inatakiwa kuweka wazi makusanyo hayo ni katika sekta Gani. Mwaka 2019 mkoa wa Dodoma ukiwekwa kama mkoa wenye makusanyo makubwa kuliko mikoa yote kuondoa Dar es salaam,.Sasa hii inachanganya watu. TRA watuambie kipi kimeikumba Dodoma mpaka haisikiki tena. Elimu ya uchumi ni mhimu.
 
Back
Top Bottom