Wadau wa utalii mna mtazamo gani kuhusu uamuzi mpya ukusanyaji wa mapato yanayotokana na utalii?

Ngoja tuangalie huenda serikali imejifunza kutokana na makosa katika maamuzi waliyofanya ya dizaini hii mf. kama katika korosho. Hivyo wakawa na solutions za issue zinazoweza kujitokeza katika operations za utalii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…