Pre GE2025 Wadau Wachunguze Utakatishaji wa Pesa kwenye Ununuzi wa Helikopta ya Wakandarasi

Pre GE2025 Wadau Wachunguze Utakatishaji wa Pesa kwenye Ununuzi wa Helikopta ya Wakandarasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanaomchangia Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanamchangua Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA
Duh, yaan makandaras hawa wanaodaiwa kila kona, leo hii wamepata pesa kuchangia ununuzi wa chopper? Wengine miradi imekwama kwa sababu ya ukosefu wa mtaji wa kukamilisha miradi yao kwa sababu hawajalipwa na serikali leo hii wamepata hela ya kununua chopper?

Tanzania yangu. Au wanawaunga bodaboda mkono kwa kuchangia 3m za kusaidia kuendesha chama?
Ila hizi propaganda, ngoja tusubiri
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanamchangua Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
Siasa za Africa ni burudani tupu, mimi sipotezi mda angu kufuatilia hizi siasa unaweza ukakosa usingizi bure na cofatability ya mind kwa vitu vilioko nje ya uwezo wako, bora kulea wanangu,.......In Africa politics every thing is possible even impossible are possible.
 
Tangu lini mkawa na moyo wa kutoa?
Masikini mnawapita bila kujua kala nini
Eti hao hao waswahili leo wanachangia chopper
Naona zile hela wanazoficha majumbani kina TRA zinaanza kutoka
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanaomchangia Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
Uzi utapendwa na wambea na chadema na wenye upeo mfupi mnoo maana umekaaa kiwivu na ki....
 
Back
Top Bottom