Pre GE2025 Wadau Wachunguze Utakatishaji wa Pesa kwenye Ununuzi wa Helikopta ya Wakandarasi

Pre GE2025 Wadau Wachunguze Utakatishaji wa Pesa kwenye Ununuzi wa Helikopta ya Wakandarasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo chopper wamenunua CCM huko huko wamefanya kuingiza mfuko wa kushoto na kuhamishia pesa za walipa kodi mfuko wa kulia.
 
Nchi inanuka rushwa tupu, walichokifanya ndiyo wanakifanya kwa Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Katibu wakuu, sijui maRAS, DEDs, CEOs n.k
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanaomchangia Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
Wauza unga hao au fisadi wenye kutaka kumuhonga mama na kutakatisha fedha. Walaaniwe kabisa
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanaomchangia Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
Zile pesa ni za umma zimeibiwa na zinatakatishwa kupitia wahandisi au wakandarasi hewa. Hawatambuliwi na CRB wala ERB wahuni wale.
 
ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.
fb_img_1684849274867-jpg.2632462


Fedha za Join the Chain zimeishia wapi?

Watakatishaji?

mhh
 
Hebu ngoja, unatakatishaje pesa kwa kununua helicopter nje ya inchi. Hapo pesa si zimekwenda nje na helicopter imekuja tanzania?

Hebu nielezee mtu au kikundi cha watu kinatakatishaje pesa kwa kununua helicopter ya mamilioni ya pesa? [emoji848]
 
Hebu ngoja, unatakatishaje pesa kwa kununua helicopter nje ya inchi. Hapo pesa si zimekwenda nje na helicopter imekuja tanzania?

Hebu nielezee mtu au kikundi cha watu kinatakatishaje pesa kwa kununua helicopter ya mamilioni ya pesa? [emoji848]
Swali la kibwege sana!
 
Taarifa za uchunguzi wetu zimebaini kwamba hakuna Mkandarasi hata mmoja atakayetoa hela kwa ajili ya ununuzi huo wa kinachoitwa chopa ya kampeni ya Rais, hakuna na hatakuja kuwepo.

Bali kipo kikundi cha watu kinachowatumia Wakandarasi hao ili kutakatisha pesa kwa lengo la kusaidia mambo yao.

Ifahamike kwamba lengo letu si kuzuia watu kumchangia Rais, wala hatuna uwezo wa kuzuia jambo hilo, Lakini tunataka wale wanaomchangia Rais wajitokeze hadharani wafahamike ili tuwapongeze kwa wema wao huo, hawana haja ya kujificha na kutumia Taasisi zingine

Tumeomba wadau wachunguze wenyewe badala ya Polisi kwa sababu HAKUNA POLISI YEYOTE WA TANZANIA ANAWEZA KUCHUNGUZA ZAWADI ANAZOPEWA RAIS HATA KAMA ZAWADI HIZO ZIMELETWA NA MUUZA UNGA.

Soma==>>
Kuelekea 2025 - Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-
Tena hiyo ndege Dkt Samia asiipande kabisa itakuja kumuua, mi siwaamini kabisa hao wakandarasi. Haiwezekani kabisa eti wajitolee tena bil 10, huo ni mpango wa kumuua rais wetu. Atumie usafiri wa serikali kwenye kampeni.
 
Hebu ngoja, unatakatishaje pesa kwa kununua helicopter nje ya inchi. Hapo pesa si zimekwenda nje na helicopter imekuja tanzania?

Hebu nielezee mtu au kikundi cha watu kinatakatishaje pesa kwa kununua helicopter ya mamilioni ya pesa? [emoji848]
Itakuwa huelewi maana ya dhana utakatishaji fedha
 
Hivi hiyo Chopa ni Model gani na bei gani

We are experts in connecting sellers of helicopters with enthusiastic buyers, so that everyone gets what they want with no hassle. What is usually a nightmare becomes a seamless and stress-free process, with high-quality fully-inspected helicopters delivered to buyers via our professional ferry service.



 
Back
Top Bottom