Pendo Julliet
JF-Expert Member
- Sep 15, 2017
- 243
- 324
Kutokana na umaskini imefikia hatua ukitaka Mtanzania akuskilize na kufata yako mueleze iko fursa ya kupata/kuvuna hela kwa mafankio makubwa sehemu fulani yani kwenye biashara nk.
Mueleze kile kizuri ambacho kitampendeza maskioni na kitaleta faraja kubwa ya maisha kwake naye bila kufikiri vizuri atafurahi na kukuona wewe ni nabii mpya na mkombozi kwake.
Mbinu hii hutumiwa na wengi wenye akili ili kufikia malengo yao kupitia Watanzania wanaohitaji relief kwenye maisha yao.
Hapa nawatahadharisha wadau watafutaji na wajasiliamali wote kuwa makini sana kabla ya kuitikia wito wa fursa zinazotangazwa na kupambwa kwa hadithi nzuri zenye kuvutia kama harufu ya maua mazuri kwa nyuki ukizingatia matukio ya kutekana, kupotea kwa watu nk yanayotokea kwenye jamii kila uchao.
Dunia imebadilika sana usipofikiri vizuri unaeza kujuta na wahenga wasema majuto ni mjukuu!
Hii ni tahadhari kabla ya hatari mwenye kuelewa na aelewe!
Mueleze kile kizuri ambacho kitampendeza maskioni na kitaleta faraja kubwa ya maisha kwake naye bila kufikiri vizuri atafurahi na kukuona wewe ni nabii mpya na mkombozi kwake.
Mbinu hii hutumiwa na wengi wenye akili ili kufikia malengo yao kupitia Watanzania wanaohitaji relief kwenye maisha yao.
Hapa nawatahadharisha wadau watafutaji na wajasiliamali wote kuwa makini sana kabla ya kuitikia wito wa fursa zinazotangazwa na kupambwa kwa hadithi nzuri zenye kuvutia kama harufu ya maua mazuri kwa nyuki ukizingatia matukio ya kutekana, kupotea kwa watu nk yanayotokea kwenye jamii kila uchao.
Dunia imebadilika sana usipofikiri vizuri unaeza kujuta na wahenga wasema majuto ni mjukuu!
Hii ni tahadhari kabla ya hatari mwenye kuelewa na aelewe!