Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda moja kwa moja kidato cha kwanza kama alivyoingia la sita akitoka la tano.Naomba Kujua,Sijaelewa,
Mtoto akishafika Darasa La 6 anakwendaje Form-1?
Sababu Nimesoma Kuwa Hakutakiwa na Mitihani Shule ya Msingi,Kutakuwa tuu na Mtihani wa form 4!
Sasa Mtoto akimaliza Darasa la 6 Watajiunga Vipi na Sekondary,Na Sekondary Maalum Pia?
Then Atafanya Mtihani form 4 na Kwenda Form 5!
Vyuo vya ufundi hivi hivi vinavyofundisha vifaa vilivyobuniwa vita vya kwanza vya dunia ?Vyuo vya Ufundi vinatakiwa kuwa na route ya kwenda University within 2 - 3 years.
Kwa UK, kwa mwanafubzi aliyepita vyuo vya ufundi, huwa wanakuwa wakali mno kwenye vitu kama CAD, Programming and Computing, na project zao za kumaliza chuo huwa zinakuwa za hali ya juu sana.
hatuzolesh wala nn hapo kunakuw na balance na watoto wataelw wanachkisoma kiingerz liwe somo km somo lkn kiswahl kitmike kufnfishia masom km kemia , fizikia na jiografiasasa kiongozi huo utaratibu wa kufundisha kwa lugha mbili tofauti huoni ni mkanganyiko ambao unachangia kuzorotesha elimu yetu
Naona lugha inatakiwa iwe moja tu kwenye kufundisha either eng au kiswa
Embu iweke archmedes principle kwa kiswahilihatuzolesh wala nn hapo kunakuw na balance na watoto wataelw wanachkisoma kiingerz liwe somo km somo lkn kiswahl kitmike kufnfishia masom km kemia , fizikia na jiografia
mkuu mambo yasiwe meng naomba uliptie hili andiko lang itajua nakusdia nnEmbu iweke archmedes principle kwa kiswahili
Haina mantiki kuhusu kujaa. Nazungumzia watoa maamuzi kuhusu elimu yetu kwa sasa wanatoka huko.Shule zipi zinajaa wanafunzi kati ya pwani na kusiko pwani!?
Ulizungumzia kutopenda elimu,tanga na Mara wapi Pana muamko wa elimu tangu uhuru!?Haina mantiki kuhusu kujaa. Nazungumzia watoa maamuzi kuhusu elimu yetu kwa sasa wanatoka huko.
Bado hujanielewa aisee. PUNGUZA MAWAZOUlizungumzia kutopenda elimu,tanga na Mara wapi Pana muamko wa elimu tangu uhuru!?
Unajifanya hujaeleweka siyo!!Bado hujanielewa aisee. PUNGUZA MAWAZO
Hawa hawa waliopo,asilimia kubwa ya walimu wanaofundisha english medium ni wale walimu waliomaliza vyuo na bado hawajapata ajira.Human resources IPO!? Walimu mtatoa wapi!??