Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Human resources IPO!? Walimu mtatoa wapi!??Shule za primary zote zifundishwe kwa lugha ya kingereza hapo mnaweza kufaulu
Duh...!, kumbe kuna uwakili unaotolewa kama zawadi kutoka kwa Waziri!. Maadam Tanzania tuna sheria ya LST, ni waziri gani huyo mwenye uwezo na mamlaka ya kumpa mtu uwakili wa zawadi bila kupitia LST?.Huyo Pascal Mayalla huwa ananifurahisha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwaka huu alipewa uwakili wa zawadi kutoka kwa waziri, basi kutwa kuchwa kuwatusi vijana wa LST kwamba ni vilaza.
Uwe na heshima na staha na watu wazima. Pascal ni mtu tunayemheshimu na kutambua mchango wake huku JF. Hata kama una matatizo yako binafsi, sio sahihi kumtukana mwenzio tena mtu mzima kuliko wewe. Hata kama malezi yako hayakuwa mazuri, jitahidi uheshimu wazi wazima. Mods tafadhali pigeni ban huyu kilaza.We pascal mayala ungekuwa una akili usingekuwa unafirwa na yule boss mstaafu wa ATCL.
Mnhhhh!!We pascal mayala ungekuwa una akili usingekuwa unafirwa na yule boss mstaafu wa ATCL.
Huo ugomvi huujui chanzo chake kaa kimya waache wapambane wenyewe.Uwe na heshima na staha na watu wazima. Pascal ni mtu tunayemheshimu na kutambua mchango wake huku JF. Hata kama una matatizo yako binafsi, sio sahihi kumtukana mwenzio tena mtu mzima kuliko wewe. Hata kama malezi yako hayakuwa mazuri, jitahidi uheshimu wazi wazima. Mods tafadhali pigeni ban huyu kilaza.
Ungekuwa mtu mzima ungekuwa unafirwa?Uwe na heshima na staha na watu wazima. Pascal ni mtu tunayemheshimu na kutambua mchango wake huku JF. Hata kama una matatizo yako binafsi, sio sahihi kumtukana mwenzio tena mtu mzima kuliko wewe. Hata kama malezi yako hayakuwa mazuri, jitahidi uheshimu wazi wazima. Mods tafadhali pigeni ban huyu kilaza.
Ww kweli FURUSHI LA CHANJO aiseeUngekuwa mtu mzima ungekuwa unafirwa?
Acha ushoga we mzee, na ukiendelea ntakuumbua mpaka ukome.
Nawe toa ujinga wako hapa. Aache kutukana watu wazima. Kama mods wataruhusu watukane wengine eti kisa ugomvi hakutakuwa na maana ya kuwa na JF. Kama wana ugomvi sisi hautuhusu au lah, watafutane nje ya JF na wazichapeHuo ugomvi huujui chanzo chake kaa kimya waache wapambane wenyewe.
Acha ushoga. Usijifiche kwenye uzee.Nawe toa ujinga wako hapa. Aache kutukana watu wazima. Kama mods wataruhusu watukane wengine eti kisa ugomvi hakutakuwa na maana ya kuwa na JF. Kama wana ugomvi sisi hautuhusu au lah, watafutane nje ya JF na wazichape
Mimi siongelei katiba mpya hapa naongelea majukumu ya Serikali na bunge hayo ya katiba mpya nadhani huu sio uzi wa hilo lakini nataka nikujibu pia hayo sijui ya kupeleka kwa Draftsman ni majina tu ila wanachofanya ni hayo hayo kila mswaada wa mabadiliko unapitia kwa kamati za bunge kabla ya kujadiliwa na kama mabadiliko ni huko kwenye kamati kwa ufupi bunge linajadili miswaada inayoletwa na serikali na anayeleta mabadiliko kama ya taratibu au sheria ni Gov bunge hawawezi kuleta mswaada halafu wa kajadili wenyewe hiyo sio kazi yao wanaweza kuleta mjadala wa dharura na kupeleka mapendekezo serikalini ili walete bungeni kama mswaada. Ya katiba mpya hayo mengineSamahani kwa lugha yangu kali.
Hapo unaongea blah blah zilizopandikizwa kwenye akili zwtu kwa makusudi.
Hapo umeongelea kinachofanyika na sivyo inavyotakiwa.
Serikali inapaswa kupeleka mapendekezo ya kutungwa sheria Bungeni na kupitia Chief Draftsman Bunge linapaswa kuainisha taratibu namna sheria hiyo inavyopaswa kutungwa na kuwapa nafasi wawakilishi wa wananchi kutimiza wajibu wao.
Unajua hii kuiacha serikali itunge sheria kisha kuipeleka Bungeni for approval ndo ujinga tunaopaswa kuachana nao kupitia Katiba Mpya..
Tuepuke kuishi ktk ujima
Naona dogo umeamka na stress. Vipi leo wamekuamsha na umetoa godoro mapema hapo sebuleni kwa dada yako mauncle wanataka kwenda shule? Mimi nimkushauri, si vyema kumtukana Paschal. Ni mtu mzima nimewahi kuona TBC. Ni mtu tunayemuheshimu na kutambua mchango wake huku JF. Naamini ni mkubwa kuliko wewe. Jitahidi kumheshimu.Ungekuwa mtu mzima ungekuwa unafirwa?
Acha ushoga we mzee, na ukiendelea ntakuumbua mpaka ukome.
Lini umepita LST wewe!Duh...!, kumbe kuna uwakili unaotolewa kama zawadi kutoka kwa Waziri!. Maadam Tanzania tuna sheria ya LST, ni waziri gani huyo mwenye uwezo na mamlaka ya kumpa mtu uwakili wa zawadi bila kupitia LST?.
P
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona dogo umeamka na stress. Vipi leo wamekuamsha na umetoa godoro mapema hapo sebuleni kwa dada yako mauncle wanataka kwenda shule? Mimi nimkushauri, si vyema kumtukana Paschal. Ni mtu mzima nimewahi kuona TBC. Ni mtu tunayemuheshimu na kutambua mchango wake huku JF. Naamini ni mkubwa kuliko wewe. Jitahidi kumheshimu.
Sio nalalama, its a fact!, kwa mawakili tulionao sasa, ni wakili gani anemkaribia Murtaza Lakha?. The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia!Kila siku huwa unalalama mawakili wetu wa sasa hawana uwezo kama wale wa zamani, sijui hao mawakili wetu hutokea wapi kama sio LST.
Naomba ku reserve my comments!.Kumbe basi hata LST hutoa vilaza.
Kama kila mtu ana simu janja, vitabu vya nini wakati you can get everthing online?. Juzi kati nimepita Doha, kuna fight toka Tokyo, vitoto vya Kijepu 4 years vinacheza computer games kila mmoja na laptop yake!, wewe bado unazungumzia vitabu?!Na unavyotaka tuwaige Marekani, hizo facilities ikiwemo standard ya education itafanana nao? ikiwa huku kwetu walimu wachache, hakuna vitabu vya kutosha, nk..
Sio nalalama, its a fact!, kwa mawakili tulionao sasa, ni wakili gani anemkaribia Murtaza Lakha?
P