Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Twende kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma tangazo, watatumia course assessmentMkuu umeandika kwa haraka na hisia kubwa mno.
Je ni sahihi kwa wahitimu kutokufanya mtihani wa kuhitimu shule ya msingi?
Swali makini sanaWhat difference will it bring to the current one...!??
Wakenya nao kingereza chao kimeathiriwa sana ma mother tongue,Walimu hawa wa nacte hamna wa kufundisha kieng kwa ufasaha bruh
Labda waanze kuandaliwa sasa hv niamini mimi primary nimefundishwa na walimu asilimia kubwa kutoka kenya
Mwalimu wa kibongo akija kufundisha akiongea darasa zima tunacheka jinsi anavyoongea kieng mpasuko 😆
Nipo kwa kutulia kusubiri majibuWhat difference will it bring to the current one...!??
Mbona unahasira na wachumi wetuSawa
Ndivyo itakuwa,sio tuu hizo fani bali na fani ya Economics ,only elite students ndio wasome sio mnatuletea vilaza kuongoza uchumi wa Nchi.
Wewe ndio muharibifu sheitwani mharibuUharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu
Kama nchi kwakweli kuna haja ya kutengeneza mifumo ya kuwabana wanasiasa wanaolala tu na kuamka na mawazo yao na kuyatekeleza.Daa nchi yetu ina laana. Tatizo ni kwamba viongozi wanadhani wana akili sana kiasi cha kufanya mabadiliko kwa njia ya zimamoto bila kushirikisha wadau na wananchi kwa ujumla. Hili linaweza kuja kuwa bomu jingine ambalo litaharibu kabisa elimu. Kila mtu anakubali kuwa elimu yetu inahitaji mabadiliko, lakini hili la wansiasa wachche wasio na maono kukaa sehemu moja na kujaribu kuja na solution hakutasaidia chochote.
Wewe kama unasifia kila kitu utakua mjinga.wazee wakupinga kila kitu mpo kumbe
Wewe ndio muharibifu sheitwani mharibu
Hiyo elimu chini ya sera za zamani huoni kuwa ni mzigo Watanzania maskini?
Safi kabisaNaibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye elimu ya msingi itakomea darasa la 6.
Kauli hiyo ameisema hii leo Oktoba 20, 2022, na kuongeza kwamba sera mpya ya elimu itakapozinduliwa hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni wa kidato cha nne tu, huku akisema mwanafunzi akianza kidato cha kwanza atakuwa tayari ameshajiweka kwenye mchepuo maalum hadi kidato cha nne.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amesema kuwa serikali inatazamia kuzindua sera mpya ya elimu kufikia mwezi Desemba, 2022 ili kuleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya elimu na kwamba mabadiliko yataanzia elimu ya msingi.
Wako maprofesa fulani waliwai kujifungia kuhusu jambo fulani alafu wakaja na kitu cha ajabu.Usiamini sana waalamu wetu kwasababu mara nyingi wanakua nusu wataalam nusu wanasiasa.Serikali yote (Wizara ya Elimu) imekosa wataalamu mpaka ufanyike mchakato kama wa katiba ya Warioba???? Tatizo hatupo tayari kwa mabadiliko. Tusikariri maisha sio Nursery-Primary-Secondary
Watafanya mtihani sio wa kuhitimu bali kuwapima kama ulivyo mtihani wa darasa la nne, elimu ya lazima ni mpaka form IV, hivyo hakuna tena kuhitimu darasa la 7!.Mkuu umeandika kwa haraka na hisia kubwa mno.
Je ni sahihi kwa wahitimu kutokufanya mtihani wa kuhitimu shule ya msingi?
Lots and lots of advantage!,
- Kwanza Tanzania tunaingia kwenye mapinduzi ya Elimu, hakuna tena daasa 7, bacic education inakuwa ni elimu ya form 4!.
- Watoto wanaanza shule wadogo na kufundishwa kujitambua mapema, samaki mkunje angali mbichi. Darasa la kwanza ni akiwa miaka 6 na kumaliza primary at 12!.
- Hakuna mimba za utotoni kwa primary school, hivyo sasa watapevukia sekondari na somo la sex education ndio somo la kwanza sekondari.
- Mtoto akiwa primary anapimwa amplitude tests za kuangalia brain ppwer yake kipaji chake anaweza nini na sio tuu anapenda nini, anapendeshwa kile anachoweza na hii itapunguza sana watu kutaga!.
- Specialization inaanzia form I. Hivyo wanafunzi tangu anasoma sekondari anajua anakwenda kuwa nani, sio mtu anauwezo na sheria, halafu kwenye HDD yake umzamishie Abbot na Nelkon na kujaza bure savers zake na kumpotea muda.