Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Kwa kweli kwa sasa watoto kwenda A level ni kupteza muda. A level ifutwe.Kule hawana A level!.
P.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli kwa sasa watoto kwenda A level ni kupteza muda. A level ifutwe.Kule hawana A level!.
P.
Walimu wakutema ung'eng'e 24/7 watakuwepo kweli itabidi miaka 10 mbele kuwaandaaKiswahili kifutwe lugha ya kufundishia iwe kiingereza, kiswahili libaki kama somo tu.
Ila hii si mbaya sana,kikubwa sasa lugha ya kiingereza ianze kufundishwa kuanzia std 1 litakua jambo la maana mnoUharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu
Wapo mkuuWalimu wakutema ung'eng'e 24/7 watakuwepo kweli itabidi miaka 10 mbele kuwaandaa
Lugha ya kufundisha itakuwaje?!!Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye elimu ya msingi itakomea darasa la 6.
Kauli hiyo ameisema hii leo Oktoba 20, 2022, na kuongeza kwamba sera mpya ya elimu itakapozinduliwa hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni wa kidato cha nne tu, huku akisema mwanafunzi akianza kidato cha kwanza atakuwa tayari ameshajiweka kwenye mchepuo maalum hadi kidato cha nne.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amesema kuwa serikali inatazamia kuzindua sera mpya ya elimu kufikia mwezi Desemba, 2022 ili kuleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya elimu na kwamba mabadiliko yataanzia elimu ya msingi.
Hawana Dira ya maendeleo ya Taifa.Uharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu
Elimu tuliyo nayo iliishapitwa na wakati, haimsaidii mwanafunzi kumudu/ kupambana na maisha napenda transition/ revolution. Tusipoteze muda wa vijana kusoma vitu visivyokuwa na msaada. Waache watu wamalize shule mapema wakiwa vijana na wapate nafasi ya kusoma/practice skills nyingine za maisha.
Kwa elimu tuliyonayo mtu anamaliza degree na hata uwezo wa kujiajiri hana.
Hawa hawa tunaowajua au watatolewa nchi jiraniWapo mkuu
sasa kiongozi huo utaratibu wa kufundisha kwa lugha mbili tofauti huoni ni mkanganyiko ambao unachangia kuzorotesha elimu yetukwang me kiingereza liwe somo la kujifunzia kiswahili iwe lugha ya kufundishia.
Haya ndio maendeleo, ila tulipaswa tuwe kama US, 8-4-4 .
Primary miaka 4
Mtoto anaanza la kwanza akiwa na miaka 4 na kumaliza elementary akiwa 12 anakwenda sekondari at 13 years for 4 years na kumaliza at 16
Anaingia college at 17 years for 4 years na degree zao ni masters!.
US mtu haruhusiwi kusomea sheria kama hana degree nyingine, hivyo kule kwenye sheria, sciences na udakitari wa binadamu, hakuna kilaza atapenya!. Sio hapa vilaza wanakimbilia LL.B na kupewa degree za michongo!, kufika LST wana stopishwa basi ni kelele mwanzo mwisho!.
Kule hawana A level!.
P.
Mkuu niamini mimi,Watanzania wengi waliopita o level hadi chuo wanajua kiingereza,ila kwa vile awaongei mara kwa mara wanakosa kujiamini,mfano kama umepitia huko unapoangalia movie wanazoongea kiingereza uelewi?kinachotakiwa kuwapa watu kujiamini na kutokana na mazingira yaliyopo basi kiingereza kianzie huko std 1Hawa hawa tunaowajua au watatolewa nchi jirani
Maana elimu ya juu tu notes za kiingereza ila lecturer anaongea kiswahili 😆
Kichwa cha habari kinapotosha! Serikali IMERIDHIA - kwani huo mfumo mpya ni ombi la nani?Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye elimu ya msingi itakomea darasa la 6.
Kauli hiyo ameisema hii leo Oktoba 20, 2022, na kuongeza kwamba sera mpya ya elimu itakapozinduliwa hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni wa kidato cha nne tu, huku akisema mwanafunzi akianza kidato cha kwanza atakuwa tayari ameshajiweka kwenye mchepuo maalum hadi kidato cha nne.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amesema kuwa serikali inatazamia kuzindua sera mpya ya elimu kufikia mwezi Desemba, 2022 ili kuleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya elimu na kwamba mabadiliko yataanzia elimu ya msingi.
Walimu hawa wa nacte hamna wa kufundisha kieng kwa ufasaha bruhMkuu niamini mimi,Watanzania wengi waliopita o level hadi chuo wanajua kiingereza,ila kwa vile awaongei mara kwa mara wanakosa kujiamini,mfano kama umepitia huko unapoangalia movie wanazoongea kiingereza uelewi?kinachotakiwa kuwapa watu kujiamini na kutokana na mazingira yaliyopo basi kiingereza kianzie huko std 1